Kuna simu zinaitwa Aquous je zina ubora?

Kuna simu zinaitwa Aquous je zina ubora?

hiyo ukisogea nje ya mji network kisanga 😂😂😂
 
Wabongo kwa kukaririsha kila kitu Mchina, AQUOS ni simu zinazotengenezwa Japan na ni kwa ajiliya Japan pekee huku bongo nyingi zinakuja mtumba na refurbished.
Nimetumia simu za Japan docomo ikiwemo LG, Sony kiufupi ni simu kali ngumu na nzuri zinadumu haswa, mapungufu tu ni pale unapotaka software update zinataka utumie network yao docomo.
Ukija kwenye AQUOS sasa kuna RT series bei ya RT7 ni kama iPhone macho matatu
Nina sense 5g, ni ngumu balaa hii simu.
 
Alikwambia nani kama vitz ni gari ya mashindano?? Ulisikia wapi?
 
nje ya mji, network ya manati
uki restart simu, mtandao kusoma ni issue
ukimaliza call, hupatikani mpaka mda kadhaa upite
 
Simu za AQUOS ni mjapan wanaokwambia sijui mchina kafanyaje fanyaje ni wavivu hata ku Google kupata ukweli...
 
Kwahiyo sawa na Tecno ,Infinix na Itel
Hakuna kitu kwenye hizo Simu.
? Mimi nimeziona majuzi kwa hapa GEITA then nikazifanyia mchakato wakuzingalia GSM arena nimekuta zina proccesor kali ya Qualcomm ambayo naamini ni proccesor bora kwa Android .

Leo hii unasema hamna kitu , thibitisha sasa ??
 
Ni nzuri ukinunua kubwa zenye uwezo mkubwa, zipo mpaka za 5g lakini shida hazina spear na usije kusahau password utajuta kununua hiyo simu, maana hutoweza kuitumia Tena maana hakuna fundi anaeweza kuzitoa password hapa Tanzania
Huu ni uongo, ninatumia simu hii nilisahau password nikaifanyia restoration asubuhi tu
 
Fundi wa kuzitoa password wapo ila ni gharama kati ya 70k_- 150k. Kuhusu spea uko sahihi huku zinakuja za mtumba haziji mpya. Siyo aquos tu simu nyingi za Japan kutoa password ni mtihani.

Pia upande wa matumizi kuna mapungufu utayaona kwani ile simu imelengwa kutumika Japan pekee.
Jamani nileteeni hizo aqous niwatolee password
 
****
Screenshot_20240623-195041.png
 
Back
Top Bottom