Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
xperia z3Sony gani ulitumia?
Nina sense 5g, ni ngumu balaa hii simu.Wabongo kwa kukaririsha kila kitu Mchina, AQUOS ni simu zinazotengenezwa Japan na ni kwa ajiliya Japan pekee huku bongo nyingi zinakuja mtumba na refurbished.
Nimetumia simu za Japan docomo ikiwemo LG, Sony kiufupi ni simu kali ngumu na nzuri zinadumu haswa, mapungufu tu ni pale unapotaka software update zinataka utumie network yao docomo.
Ukija kwenye AQUOS sasa kuna RT series bei ya RT7 ni kama iPhone macho matatu
Kioo yake unaionaje?xperia z3
Ebu andika jin lake lote maana sense ni nyingiNina sense 5g, ni ngumu balaa hii simu.
Kioo yake unaionaje?
Babaaa taratibu,punguzaMchina akishika soko hataki kulipoteza mtapigwa matoleo mtachoka wenyewe mfano mzuri kwenye simu na malori check Sinotruck anavyofyatua matoleo mapya kila siku ya Howo
Icho kioi flagships nyingi hazinakioo ni OLED very soft and smooth kiasi kwamba kuweka screenprotector unaona kama inaharibu show
? Mimi nimeziona majuzi kwa hapa GEITA then nikazifanyia mchakato wakuzingalia GSM arena nimekuta zina proccesor kali ya Qualcomm ambayo naamini ni proccesor bora kwa Android .Hakuna kitu kwenye hizo Simu.
Umezitumia?Hakuna kitu kwenye hizo Simu.
Huu ni uongo, ninatumia simu hii nilisahau password nikaifanyia restoration asubuhi tuNi nzuri ukinunua kubwa zenye uwezo mkubwa, zipo mpaka za 5g lakini shida hazina spear na usije kusahau password utajuta kununua hiyo simu, maana hutoweza kuitumia Tena maana hakuna fundi anaeweza kuzitoa password hapa Tanzania
Jamani nileteeni hizo aqous niwatolee passwordFundi wa kuzitoa password wapo ila ni gharama kati ya 70k_- 150k. Kuhusu spea uko sahihi huku zinakuja za mtumba haziji mpya. Siyo aquos tu simu nyingi za Japan kutoa password ni mtihani.
Pia upande wa matumizi kuna mapungufu utayaona kwani ile simu imelengwa kutumika Japan pekee.
Hakuna kapicha ka hizo Simu nisafishe macho lo 🤔???