Kuna siri gani iliyojificha kwenye namba 13?

Kuna siri gani iliyojificha kwenye namba 13?

Lisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani linakuja

C = 3
O = 15
R = 18
O = 15
N = 14
A = 1
_________________
6 66

[emoji31][emoji31][emoji125][emoji125][emoji125]
Misingi ipi hiyo ya elimu ya namba umetumia katika kufikia hiyo 666. Numerology uwa ina root numbers na master numbers.

666
6+6+6=18
1+8=9
 
Unaweza kuiona 13 kutokana na uelewa wako wa namba ni mkubwa kiasi gani maana kwa wengine hiyo ni 4 ambayo inasimama kama jiwe la msingi
13= 1+3=4
 
MwanaFA kazaliwa 13 March, Fid Q 13 August....au nawao wanamabalaa yao.
 
Unaweza kuiona 13 kutokana na uelewa wako wa namba ni mkubwa kiasi gani maana kwa wengine hiyo ni 4 ambayo inasimama kama jiwe la msingi
13= 1+3=4
Mkuu fafanua hapo kwny namba 4 kama jiwe la msingi.
 
Hiii number ina nini?

Je, ni kweli hii number 13 ina mikosi?

Katika mbio za magari number 13 haipo

Guest house number 13 haipo!

Jezi number 13 ni nadra na Kama ipo ina walakini!

Ghorofa number 13 haipo, kwanini? Wamesahau au ina shida gani?

Taifa la Germany number 13 hata kwenye kalenda haipo!

Kwenye bus siti number 13 haipo

Kwenye ndege siti number 13 haipo ikifika 12 wanaruka 14 na kuendelea.

Ndege kubwa sana zaidi ya bombardier namaanisha kwa wale wanaosafiri mara kwa mara chunguza kwenye ndege kubwa Kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways,
ACHA KUKOPI NYUZI ZA WATU WE DOGO
 
Mkuu fafanua hapo kwny namba 4 kama jiwe la msingi.
4 uwa inawakilisha kujengwa kwa misingi mipya. Nitakupa mifano kidogo

Yesu alifunga siku 40=4+0=4

Waisrael walizunguka jangwani miaka 40=4

Ghalika ya Nuhu mvua ilikuwa siku 40=4+0=4

Baada ya kufufuka Yesu alikuwa duniani kwa siku 40=4+0=4

Yesu na wanafunzi wake walikuwa 13=1+3=4
 
Ni imani tu
Namba 13 inahusishwa na mikosi, Christians kwa mfano, inasemekana mtu mwa mwisho kuketi siku ya karamu ya mwisho, alikuwa yudah, na alikuwa ni mtu wa 13
Alikuwa bado abafukuzia dili so wenzake wakawahi siti 😎
 
4 uwa inawakilisha kujengwa kwa misingi mipya. Nitakupa mifano kidogo

Yesu alifunga siku 40=4+0=4

Waisrael walizunguka jangwani miaka 40=4

Ghalika ya Nuhu mvua ilikuwa siku 40=4+0=4

Baada ya kufufuka Yesu alikuwa duniani kwa siku 40=4+0=4

Yesu na wanafunzi wake walikuwa 13=1+3=4
Ahsante kwa elimu.
 
Lisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani linakuja

C = 3
O = 15
R = 18
O = 15
N = 14
A = 1
_________________
6 66

[emoji31][emoji31][emoji125][emoji125][emoji125]
Carbon 6 neutrons 6 protons 6 electrons



Kitu kimoja kuhusu mzungu anaficha ukweli machoni.kwako.peupeee 666 ni mtu mweusi......kwa kifupi


Ijumaa ya biriani maleko
 
Hiii number ina nini?

Je, ni kweli hii number 13 ina mikosi?

Katika mbio za magari number 13 haipo

Guest house number 13 haipo!

Jezi number 13 ni nadra na Kama ipo ina walakini!

Ghorofa number 13 haipo, kwanini? Wamesahau au ina shida gani?

Taifa la Germany number 13 hata kwenye kalenda haipo!

Kwenye bus siti number 13 haipo

Kwenye ndege siti number 13 haipo ikifika 12 wanaruka 14 na kuendelea.

Ndege kubwa sana zaidi ya bombardier namaanisha kwa wale wanaosafiri mara kwa mara chunguza kwenye ndege kubwa Kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways, British airways na nyinginezo hawana siti number 13.

Kwanini?
The number 13 is considered an unlucky number in some countries. ... Some believe this is unlucky because one of those thirteen, Judas Iscariot, was the betrayer of Jesus Christ.
============================================================================================================
https://www.history.com/news/whats-so-unlucky-about-the-number-13
============================================================================================================
 
Hiii number ina nini?

Je, ni kweli hii number 13 ina mikosi?

Katika mbio za magari number 13 haipo

Guest house number 13 haipo!

Jezi number 13 ni nadra na Kama ipo ina walakini!

Ghorofa number 13 haipo, kwanini? Wamesahau au ina shida gani?

Taifa la Germany number 13 hata kwenye kalenda haipo!

Kwenye bus siti number 13 haipo

Kwenye ndege siti number 13 haipo ikifika 12 wanaruka 14 na kuendelea.

Ndege kubwa sana zaidi ya bombardier namaanisha kwa wale wanaosafiri mara kwa mara chunguza kwenye ndege kubwa Kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways, British airways na nyinginezo hawana siti number 13.

Kwanini?
Hapo kwenye siti za bus umetudanganya, namba 13 ipo. Labda haipo kwenye mabasi ya kwenda kwenu, sijui wapi!??
 
Mabasi ya siku hizi yakuwa na A1, A2, A3, A4 alafu inafuata B1, B2, B3, B4 nk.
 
Back
Top Bottom