Misingi ipi hiyo ya elimu ya namba umetumia katika kufikia hiyo 666. Numerology uwa ina root numbers na master numbers.Lisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani linakuja
C = 3
O = 15
R = 18
O = 15
N = 14
A = 1
_________________
6 66
[emoji31][emoji31][emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu fafanua hapo kwny namba 4 kama jiwe la msingi.Unaweza kuiona 13 kutokana na uelewa wako wa namba ni mkubwa kiasi gani maana kwa wengine hiyo ni 4 ambayo inasimama kama jiwe la msingi
13= 1+3=4
ACHA KUKOPI NYUZI ZA WATU WE DOGOHiii number ina nini?
Je, ni kweli hii number 13 ina mikosi?
Katika mbio za magari number 13 haipo
Guest house number 13 haipo!
Jezi number 13 ni nadra na Kama ipo ina walakini!
Ghorofa number 13 haipo, kwanini? Wamesahau au ina shida gani?
Taifa la Germany number 13 hata kwenye kalenda haipo!
Kwenye bus siti number 13 haipo
Kwenye ndege siti number 13 haipo ikifika 12 wanaruka 14 na kuendelea.
Ndege kubwa sana zaidi ya bombardier namaanisha kwa wale wanaosafiri mara kwa mara chunguza kwenye ndege kubwa Kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways,
Na umekuwa wa 13 ku-comment kwenye huu uzi!!!!Wazee mnanitisha nimezaliwa 13september na naamin nitaconquer
We ni shetani huoni hata comment yako ni ya 13?Wazee mnanitisha nimezaliwa 13september na naamin nitaconquer
Lisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani linakuja
C = 3
O = 15
R = 18
O = 15
N = 14
A = 1
_________________
6 66
[emoji31][emoji31][emoji125][emoji125][emoji125]
4 uwa inawakilisha kujengwa kwa misingi mipya. Nitakupa mifano kidogoMkuu fafanua hapo kwny namba 4 kama jiwe la msingi.
Alikuwa bado abafukuzia dili so wenzake wakawahi siti 😎Ni imani tu
Namba 13 inahusishwa na mikosi, Christians kwa mfano, inasemekana mtu mwa mwisho kuketi siku ya karamu ya mwisho, alikuwa yudah, na alikuwa ni mtu wa 13
Ahsante kwa elimu.4 uwa inawakilisha kujengwa kwa misingi mipya. Nitakupa mifano kidogo
Yesu alifunga siku 40=4+0=4
Waisrael walizunguka jangwani miaka 40=4
Ghalika ya Nuhu mvua ilikuwa siku 40=4+0=4
Baada ya kufufuka Yesu alikuwa duniani kwa siku 40=4+0=4
Yesu na wanafunzi wake walikuwa 13=1+3=4
Carbon 6 neutrons 6 protons 6 electronsLisemwalo lipo Kama halipo lipo njiani linakuja
C = 3
O = 15
R = 18
O = 15
N = 14
A = 1
_________________
6 66
[emoji31][emoji31][emoji125][emoji125][emoji125]
Kila kitu kinakua na nguvu pale tu mtu atakapoamua kukipa nguvu.....Namba yeyeto haina shida isipokuwa kwa wenye imani nayo
The number 13 is considered an unlucky number in some countries. ... Some believe this is unlucky because one of those thirteen, Judas Iscariot, was the betrayer of Jesus Christ.Hiii number ina nini?
Je, ni kweli hii number 13 ina mikosi?
Katika mbio za magari number 13 haipo
Guest house number 13 haipo!
Jezi number 13 ni nadra na Kama ipo ina walakini!
Ghorofa number 13 haipo, kwanini? Wamesahau au ina shida gani?
Taifa la Germany number 13 hata kwenye kalenda haipo!
Kwenye bus siti number 13 haipo
Kwenye ndege siti number 13 haipo ikifika 12 wanaruka 14 na kuendelea.
Ndege kubwa sana zaidi ya bombardier namaanisha kwa wale wanaosafiri mara kwa mara chunguza kwenye ndege kubwa Kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways, British airways na nyinginezo hawana siti number 13.
Kwanini?
Hapo kwenye siti za bus umetudanganya, namba 13 ipo. Labda haipo kwenye mabasi ya kwenda kwenu, sijui wapi!??Hiii number ina nini?
Je, ni kweli hii number 13 ina mikosi?
Katika mbio za magari number 13 haipo
Guest house number 13 haipo!
Jezi number 13 ni nadra na Kama ipo ina walakini!
Ghorofa number 13 haipo, kwanini? Wamesahau au ina shida gani?
Taifa la Germany number 13 hata kwenye kalenda haipo!
Kwenye bus siti number 13 haipo
Kwenye ndege siti number 13 haipo ikifika 12 wanaruka 14 na kuendelea.
Ndege kubwa sana zaidi ya bombardier namaanisha kwa wale wanaosafiri mara kwa mara chunguza kwenye ndege kubwa Kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways, British airways na nyinginezo hawana siti number 13.
Kwanini?