Mkuu ameshakutana na mtu anavunja yai bovu, ila anaona anateleza tu haahaBroken English
utakuta hapo anajiona kapiga bonge la english kumbe hajui hata anachosemaKuna mmoja huyo akisha lewa utamsikia I'am a toilet
ndio lakini wanajichukulia sana sifa mitaaniBroken English
Yaaan anapayuka hatar nabaki kumwangalia nachekautakuta hapo anajiona kapiga bonge la english kumbe hajui hata anachosema
umepita mule mule nadhani nawe ni miongoni mwaoOooh yes yes the things of drinking alcohol and talking england.
If you is want to talk england you is have to eat tea, not dry dry, drink tea and bread or stiff porridge.
Is you finish? Yes? Drink alcohol is called Banana. You is be speaking england no human has ever heard.
Trust me. I is a teacher of england.
Hahaha mkuu hilo pia ujalipenda unajua zaidi yake au sio ila yeye anazoa sifa kibao,ndio lakini wanajichukulia sana sifa mitaani
pombe ina mbwembwe sanaHamna siri mkuu, pombe inaongeza confidence/kujiamini au mara nying pia mtu akinywa anakua yeye ile undani wake unamtoka na kuonesha tabia yake halisi.
vitoto mitaani hudhani walevi wote wanajua english kumbe ni pombe tuHahaha mkuu hilo pia ujalipenda unajua zaidi yake au sio ila yeye anazoa sifa kibao,
namaanisha pombe kilevi na sio jina la mtuMkuu unamaanisha pombe au Pombe......maana Pombe anatatizo kubwa sn na kiingereza
Maendeleo yana vyama lkn udikteta hauna vyama π π
unaweza kudhani anajua sana english kumbe ni mbwembwe tu za pombeYaaan anapayuka hatar nabaki kumwangalia nacheka
Kuna mmoja huyo akisha lewa utamsikia I'am a toilet
Siyo Pombe na Kiingereza, bali ni Pombe na Foreign languages.Habari wana Jf,
Mwenye kuijua siri iliyopo baina ya pombe na Kiingereza aje hapa kutueleza maana haiwezekani kila mlevi anajua Kiingereza yaani hadi darasa la 7 akishalewa tu anatema ung'eng'e.