kutakuwepo mlango wa kutokea dunia nyingine, kuna watu wenye juzi maalumu wao hupita hapo na vyombo vyao huwa havizamiWakuu habari zenu..........
Bila shaka wengi wetu tumekuwa tukisikia kuhusu bermuda triangle sehemu ambayo inapatikana bahari ya atlantic na huwa tunasikia kwamba meli yoyote ikipita eneo hilo basi huwa una uwezo wa kuzama na hata ndege inaweza kuvutwa na kuzama katika bahari hiyo....
Swali langu ni kwamba katika hiyo bahari yaan katika hilo eneo kuna nini ambacho kinasababisha maafa kwa vyombo hivyo vya usafiri ???
Nawasilisha mada kwenu jamiiforums greatthinkers💪💪🙏🙏
Ngoja nijibu kivyangu kwanza, nahisi kuna magnetic forces pale maswala ya kisayansi ya uumbaji kama tu maji ya Atlantic na Indian mpakani yanapokutana maji chumvi na baridi😂😂nisaidie kuwatagg watu wenye content zao mkuu🙏🙏💪💪
Oooh okay kuna kaukweli katika hiyo point yako pia kwa namna fulaniNgoja nijibu kivyangu kwanza, nahisi kuna magnetic forces pale maswala ya kisayansi ya uumbaji kama tu maji ya Atlantic na Indian mpakani yanapokutana maji chumvi na baridi
Phenomenon
Kuna makala flani nilishawahi kuisoma kuhusu eneo hilo , inaeleza kua eno hilo inasemekana ina miamba mikubwa yenye asili ya usumaku wa asili( f23o4)
Binadamu wa kawaidaJe, hao watu ni binadamu wa kawaida au huwa ni nini labfa
Mara 1 hiyo pP sitaki kuionaNgoja tumuulize Diddy
Sijawahi kufikapo, wala siwezi kusogea. Wale wataalamu wa mizimu hiyo ndio kazi yao, lakini wanakimbia kuwaachia wanasayansi. Wamezoea kutafuniwa kila kitu.Wakuu habari zenu..........
Bila shaka wengi wetu tumekuwa tukisikia kuhusu bermuda triangle sehemu ambayo inapatikana bahari ya atlantic na huwa tunasikia kwamba meli yoyote ikipita eneo hilo basi huwa una uwezo wa kuzama na hata ndege inaweza kuvutwa na kuzama katika bahari hiyo....
Swali langu ni kwamba katika hiyo bahari yaan katika hilo eneo kuna nini ambacho kinasababisha maafa kwa vyombo hivyo vya usafiri ???
Nawasilisha mada kwenu jamiiforums greatthinkers💪💪🙏🙏
Kuna makala flani nilishawahi kuisoma kuhusu eneo hilo , inaeleza kua eno hilo inasemekana ina miamba mikubwa yenye asili ya usumaku wa asili( f23o4)