Kuna siri gani katika sehemu ya pembe tatu ya shetani(bermuda triangle)

Kuna siri gani katika sehemu ya pembe tatu ya shetani(bermuda triangle)

Wakuu habari zenu..........

Bila shaka wengi wetu tumekuwa tukisikia kuhusu bermuda triangle sehemu ambayo inapatikana bahari ya atlantic na huwa tunasikia kwamba meli yoyote ikipita eneo hilo basi huwa una uwezo wa kuzama na hata ndege inaweza kuvutwa na kuzama katika bahari hiyo....

Swali langu ni kwamba katika hiyo bahari yaan katika hilo eneo kuna nini ambacho kinasababisha maafa kwa vyombo hivyo vya usafiri ???
Nawasilisha mada kwenu jamiiforums greatthinkers💪💪🙏🙏
Ulishawahi kumuona huyo shetani na hizo pembe?
 
Ulishawahi kumuona huyo shetani na hizo pembe?
Sijawahi kumuona shetani maana si kitu halisi kuonekana kwa macho lakini hapo nilikuwa nasikia wanasema kwenda kwenye eneo hilo la bahari ya atlantic ni kutafuta kifo
 
Back
Top Bottom