Sorry?Time wasting loop
Kwenye realm kuna kutu kinaitwa malango au lango,spiritual gates.Dini mbalimbali zinapinga mpira wa miguu na kusema ni satanic. Mpira unahusishwa na freemasonry ambapo logo mbalimbali zimesemwa kuwa na nembo za kishetani ndani yake. Wengine wameenda mbali na kusema mpira ni Ibada na waumini ni mashabiki.
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?
Hio supu imewauma sanaOgopa Sana kitu kikishavamiwa na waarabu ambao majini ni ndugu zao katika imani
Wananunua klabu kubwa za ulaya. Wananunua wachezaji wakubwa na kuwapeleka nchini mwao
Juzi kati Kuna watu wamenyweshwa supu. Jiulize kwa nini supu na sii chai Wala ugali?
Na hao hao ndio wamekuletea mpiraWaliokuletea dini, ndiyo waliokuletea freemasonry. Akili kichwani
Hata dini kuna watu wanazilewa, yaan hawafanyi kazi wako busy na diniNi
Mpira ni ulevi kama pombe Kuna wanaolewa Kwa bia Moja na Kuna wengine mpaka kreti Moja.
Pombe pia wanatengeneza alcohol free yaani utakunywa haulewi yaani ligi za mchangani .
Dini mbalimbali zinapinga mpira wa miguu na kusema ni satanic. Mpira unahusishwa na freemasonry ambapo logo mbalimbali zimesemwa kuwa na nembo za kishetani ndani yake. Wengine wameenda mbali na kusema mpira ni Ibada na waumini ni mashabiki.
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?
Kuna dini ni ulaghai tu, yaani dini inapinga mpira ila inahamasisha kufuga majini!!Dini mbalimbali zinapinga mpira wa miguu na kusema ni satanic. Mpira unahusishwa na freemasonry ambapo logo mbalimbali zimesemwa kuwa na nembo za kishetani ndani yake. Wengine wameenda mbali na kusema mpira ni Ibada na waumini ni mashabiki.
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?
Tuwekee hata logo kadhaa Uzi uwe na nguvu.Dini mbalimbali zinapinga mpira wa miguu na kusema ni satanic. Mpira unahusishwa na freemasonry ambapo logo mbalimbali zimesemwa kuwa na nembo za kishetani ndani yake. Wengine wameenda mbali na kusema mpira ni Ibada na waumini ni mashabiki.
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?
Wapigaji wa kidini wanaona wivu kwa kuwa kwenye mpira kuna amsha amsha.Dini mbalimbali zinapinga mpira wa miguu na kusema ni satanic. Mpira unahusishwa na freemasonry ambapo logo mbalimbali zimesemwa kuwa na nembo za kishetani ndani yake. Wengine wameenda mbali na kusema mpira ni Ibada na waumini ni mashabiki.
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?
Kwenye realm kuna kutu kinaitwa malango au lango,spiritual gates.
Kitu chochote au jambo lolote huanzia rohoni then linavaa mwili ndo mtu hukipata au jambo kutimilika. Sasa kila mtu ana lango lake la kuroho inamaana source ikitaka kuachilia kitu kwaajili ya mtu hupitia kwenye lango la rohoni la mtu husika kwanza kabla ya kuvaa mwilina kutimilika.
Footballni mchezo unao reflect jambo fulani la kupepo, wachawi na fallen angles na machine wachafu, mermaids nelphilims mothers au jinii mahaba wanazuia riziki za watu malangoni mwao kwenye realms, sasa onana anavo daka mpira usiingie langoni kwake, yeye ni gate keeper huzuiya zizik za forwards wa team pinzani.
mpira una jumla ya wachezaji kwa teammoja 12 team ingine 12 ambayo jumla ni 24 where 2+4="6" and more and more and more
Kazi ipoUkubali usikubali mpira ni ibada ya sanamu viwanja vinajaa pomoni kuliko nyumba za ibada ya Mungu. Mpira umekuwa ni kiungo muhimu kuunganisha watu mbalimbali kuliko dini zilizozoeleka. Kila kona watu watu wanaongelea mpira. Mpaka wanawake wameingizwa huko tena wanaucheza katika haiba ya kiume kiasi cha kuwa kama wanaume huku wakiachana na haiba ya kike ambayo ni asili yao. Hata kuolewa kwao ni shughuli pevu, watafanyaje mapenzi wakiwa na haiba ya kiume kama si kuwa wapenzi wa jinsia moja? Mpira unatumika kupitisha ajenda mbaya za kishetani na hili lipo wazi linaonekana kuwepo kwa bendera ya kuunga mkono kampeni za mapenzi ya jinsia moja kwenye mchezo wa mpira.