Kuna suluhisho la kitabibu/kiasili la kutibu maumbile ya kiume yaliyodumaa?

Kuna suluhisho la kitabibu/kiasili la kutibu maumbile ya kiume yaliyodumaa?

junior Boi

New Member
Joined
Mar 28, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Msaada please,mdogo wangu ana shida kwenye organ yake ya kiume, imecease kukua, ana miaka 24 sasa lakini nyeti zake ziko ka za mtoto wa miaka 6, kuna suluhisho katika hilo tatizo?
 
Lakini anaweza kazi ilopangiwa kufanya...Kuijaza dunia? Sio awe nalo kubwa liwe mzigo!
 
Ebu wasiliana na mtu mmoja humu Jf anaitwa MziziMkavu, mwandikie PM ana ujuzi wa mambo mengi ya kiafya huyo bwana mkubwa.
 
Last edited by a moderator:
Kuwa specific, urefu gani ikisinyaa na ikisimama?
 
msaada please,mdogo wangu ana shida kwenye organ yake ya kiume,imecease kukua,ana miaka 24 sasa lakini nyeti zake ziko ka za mtoto wa miaka 6,kuna suluhisho katika hilo tatizo?
Mkuu junior Boi Mpeleke huyo ndugu yako hospitali akangaliwe na Daktari hap asi rahisi kupata huduma.

Ebu wasiliana na mtu mmoja humu Jf anaitwa MziziMkavu, mwandikie PM ana ujuzi wa mambo mengi ya kiafya huyo bwana mkubwa.
Mkuu Brightman Jr Habari yako?
 
Last edited by a moderator:
Majangesti! Kwani hata saa ya kilimo kwanza bado anakuwa 6 yrs old?
 
Back
Top Bottom