Kuna sura hazijaonekana kwenye mazoezi ya timu ya Yanga hadi sasa

Kuna sura hazijaonekana kwenye mazoezi ya timu ya Yanga hadi sasa

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Wachezaji wa Yanga wameingia kambini kwaajili ya kufanya mazoezi kujiandaa na msimu mpya ila hadi sasa Diarra, Musonda na Aucho hawajaonekana kambini na hakuna taarifa yeyote iliyotolewa kuna sababu zipi zilizowafanya wasiwepo. Program ya mwalimu inaendaje hivyo kwa wachezaji kutokamilikka?

Kingine kwanini wachezaji walioachwa hawatolewi taarifa rasmi mashabiki wajue ni kina nani waliochwa? Kuweni karibu na mashabiki wenu kwa kuwapa yanayojiri kwenye timu.
 
Wachezaji wa Yanga wameingia kambini kwaajili ya kufanya mazoezi kujiandaa na msimu mpya ila hadi sasa Diarra, Musonda na Aucho hawajaonekana kambini na hakuna taarifa yeyote iliyotolewa kuna sababu zipi zilizowafanya wasiwepo. Program ya mwalimu inaendaje hivyo kwa wachezaji kutokamilikka?

Kingine kwanini wachezaji walioachwa hawatolewi taarifa rasmi mashabiki wajue ni kina nani waliochwa? Kuweni karibu na mashabiki wenu kwa kuwapa yanayojiri kwenye timu.
Mbona kila wanayemuacha wamesema, tembelea Yanga app au social media za Yanga.
 
Wenzako wa Yanga wamepita kimya kimya sababu wanajua wao sio wapuuzi

Ushaelewa kwanini wewe imekuuma? Unajijua ni mpuuzi
we si unasema wamepita kimyakimya ni kwamba hawajafika tu,mi si mpuuzi tulia wafike wakuonyeshe unavyowaza kihisia badala ya kimantiki.
 
Bora angekua mwashambwa ningesema tunafahamiana
Guede yupo huko hajui kama kuna binti ephen huku jf anamzimikia :AmberDollDance:
Umenikumbusha enzi nakua, nilikua na wivu wa nyegere, pisi yangu ilikua inamzimia Aslay aloo tulikua tunakosana kila akimtaja taja huyo dogo.
Mwashambwa kama ana wivu wa nyegere atakuzingia saa hii 😂
 
Acha tuamini tu kwamba Yanga ni timu kubwa Afrika😆😆
 
Huyu yupo?
images (12).jpeg
 
Makolo badala muifatilie timu yenu inayozurura huko Kwa wamisri nyie kutwa kuisema Yanga ambayo miaka yote inaweka Kambi Tanzania na inakuwa mabingwa!

Makolo nani kawaloga
 
Tatizo mnataka Yanga ifanye mambo yake kama wengine kuna tofauti kubwa Sana kati ya timu bingwa na timu za shirikisho
 
Back
Top Bottom