Kuna sura hazijaonekana kwenye mazoezi ya timu ya Yanga hadi sasa

Kuna sura hazijaonekana kwenye mazoezi ya timu ya Yanga hadi sasa

Usifikirie sana soka la tz utakosa majibu mengi sana Kisha hasira zitapanda we si unaona kina Singida na coastal wanapigwa kama Ngoma pamoja na sajili zao za kutamba
 
Wachezaji wa Yanga wameingia kambini kwaajili ya kufanya mazoezi kujiandaa na msimu mpya ila hadi sasa Diarra, Musonda na Aucho hawajaonekana kambini na hakuna taarifa yeyote iliyotolewa kuna sababu zipi zilizowafanya wasiwepo. Program ya mwalimu inaendaje hivyo kwa wachezaji kutokamilikka?

Kingine kwanini wachezaji walioachwa hawatolewi taarifa rasmi mashabiki wajue ni kina nani waliochwa? Kuweni karibu na mashabiki wenu kwa kuwapa yanayojiri kwenye timu.
Mguu sawa!
 
Kosa siyo la Yanga, bali kanuni ndizo zinaweka idadi ya wachezaji wa nje kwenye timu. Kuna wachazaji wa nje tumewaacha kwa sababu ya idadi siyo kuwa hawafai.
Kwanini asingeachwa Azizi ki, hadi wamuache Guede wangu?
 
Back
Top Bottom