BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
😂😂 hatariiYanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 hatariiYanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Bora utulie tuu...kuliko kubwabwaja...Tatizo mnataka Yanga ifanye mambo yake kama wengine kuna tofauti kubwa Sana kati ya timu bingwa na timu za shirikisho
Vyura kazi yao kukoroma tuuBora utulie tuu...kuliko kubwabwaja...
Okrah, Lomalisa, Mauya na wengine.Waliwekwa wakina nani? Nipe orodha
Kua na heshima kwa mabingwaBora utulie tuu...kuliko kubwabwaja...
Yaani Guede namkubali sana.Yanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
ulitaka Guede awe wapi,Madrid au bayern???Yanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Mguu sawa!Wachezaji wa Yanga wameingia kambini kwaajili ya kufanya mazoezi kujiandaa na msimu mpya ila hadi sasa Diarra, Musonda na Aucho hawajaonekana kambini na hakuna taarifa yeyote iliyotolewa kuna sababu zipi zilizowafanya wasiwepo. Program ya mwalimu inaendaje hivyo kwa wachezaji kutokamilikka?
Kingine kwanini wachezaji walioachwa hawatolewi taarifa rasmi mashabiki wajue ni kina nani waliochwa? Kuweni karibu na mashabiki wenu kwa kuwapa yanayojiri kwenye timu.
Kosa siyo la Yanga, bali kanuni ndizo zinaweka idadi ya wachezaji wa nje kwenye timu. Kuna wachazaji wa nje tumewaacha kwa sababu ya idadi siyo kuwa hawafai.Yanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Kwanini asingeachwa Azizi ki, hadi wamuache Guede wangu?Kosa siyo la Yanga, bali kanuni ndizo zinaweka idadi ya wachezaji wa nje kwenye timu. Kuna wachazaji wa nje tumewaacha kwa sababu ya idadi siyo kuwa hawafai.
Hamia SingidaYanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Mimi ni shabiki wa Singida Black Stars FcHamia Singida
Duh! Swali technical sana hilo. Inahitajiwa mtu wa D mbili kuweza kulijibu sawasawa; mimi nina moja tu.Kwanini asingeachwa Azizi ki, hadi wamuache Guede wangu?