Mbona kila wanayemuacha wamesema, tembelea Yanga app au social media za Yanga.Wachezaji wa Yanga wameingia kambini kwaajili ya kufanya mazoezi kujiandaa na msimu mpya ila hadi sasa Diarra, Musonda na Aucho hawajaonekana kambini na hakuna taarifa yeyote iliyotolewa kuna sababu zipi zilizowafanya wasiwepo. Program ya mwalimu inaendaje hivyo kwa wachezaji kutokamilikka?
Kingine kwanini wachezaji walioachwa hawatolewi taarifa rasmi mashabiki wajue ni kina nani waliochwa? Kuweni karibu na mashabiki wenu kwa kuwapa yanayojiri kwenye timu.
kuwa na adabu binti mapenzi yako na guede yasikufanye utukane timu yetu si umfate hukohuko singida makasiriko yanini...??Yanga wapuuzi sana Guede yupo huko Singida
Wenzako wa Yanga wamepita kimya kimya sababu wanajua wao sio wapuuzikuwa na adabu binti mapenzi yako na guede yasikufanye utukane timu yetu si umfate hukohuko singida makasiriko yanini...??
Mbona kama hujapenda, au Guede ni Mwashambwa na hutuambii 😂Yanga wapuuzi sana Guede yupo huko Singida
we si unasema wamepita kimyakimya ni kwamba hawajafika tu,mi si mpuuzi tulia wafike wakuonyeshe unavyowaza kihisia badala ya kimantiki.Wenzako wa Yanga wamepita kimya kimya sababu wanajua wao sio wapuuzi
Ushaelewa kwanini wewe imekuuma? Unajijua ni mpuuzi
Bora angekua mwashambwa ningesema tunafahamianaMbona kama hujapenda, au Guede ni Mwashambwa na hutuambii 😂
Umenikumbusha enzi nakua, nilikua na wivu wa nyegere, pisi yangu ilikua inamzimia Aslay aloo tulikua tunakosana kila akimtaja taja huyo dogo.Bora angekua mwashambwa ningesema tunafahamiana
Guede yupo huko hajui kama kuna binti ephen huku jf anamzimikia
Huyu aende tu, tena alipaswa abebane na Musonda au Mzize.Yanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Wote waliowekwa kwenye app ya Yanga, kama hajawekwa manake bado yupo.Wewe una taarifa ya kuachwa wachezaji wangapi hadi sasa?
Mrembo tulia kidogoYanga wapuuzi sana, Guede yupo huko Singida
Hakuna namna kwakweliAcha tuamini tu kwamba Yanga ni timu kubwa Afrika😆😆