Kuna taarifa gani kuhusu JKT kwa kujitolea?

Kuna taarifa gani kuhusu JKT kwa kujitolea?

Kijana amka kifikra muda utakao enda kuupoteza ungebaki uraiani ungefanya hata biashara TU mambo yangekuwa vizuri. Jeshi ni utumwa hakuna mwanajeshi tajiri labda awe jambazi mwisho wa Hawa watu Huwa ni mbaya sana. Ebu chunguzeni huko mitaani kwenu wanajeshi wastaafu wanaali Gani kimaisha...?​
 
Kijana amka kifikra muda utakao enda kuupoteza ungebaki uraiani ungefanya hata biashara TU mambo yangekuwa vizuri. Jeshi ni utumwa hakuna mwanajeshi tajiri labda awe jambazi mwisho wa Hawa watu Huwa ni mbaya sana. Ebu chunguzeni huko mitaani kwenu wanajeshi wastaafu wanaali Gani kimaisha...?​
Tuache bhana twende tukajionee wenyewe
1695304198475~2.jpg
 
Back
Top Bottom