Kuna taasisi ya Serikali inaizidi DAWASA kwa huduma mbovu?

Kuna taasisi ya Serikali inaizidi DAWASA kwa huduma mbovu?

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,489
Reaction score
4,253
Taasisi nyingi za serikali zinafanya kazi kwa mazoea, kiufupi hawajali kabisa kuhusu muda wa mteja. Utaambiwa Mtandao unasumbua, au rudi kesho kana kwamba leo wamesimamishwa kazi. Utafikiri hawalipwi mishahara. Kama hamtaki kutuhudumia si mseme, mnakera kweli.

Pia soma: Baadhi ya Taasisi za Serikali zimekaa kiupigaji zaidi badala ya kutoa huduma bora kwa wananchi

Nitatolea mfano DAWASA, kitengo cha wateja wapya (new connections) Hawa watu ni wababaishaji kupita maelezo. Wanakujibu wanavyotaka, Kama DAWASA haiwezi kuunganisha maji kwanini wasi -outsource kwa wakandarasi? Kuna watu wamemaliza miezi 6 na zaidi bila kuunganishwa. Huduma zenu mbovu.

DAWASA wabaki kuregulate maji, hizo kazi zingine wawape watu binafsi wanakera Sana.

Bado kwenye usomaji wa mita, dah. DAWASA MNABOA
 
Siwezi kutaja wilayw ila tulizinguana sana nilitumia miezi mitatu
 
Kwani Kuna Taasisi au Idara ya Serikali yenye huduma nzuri mkuu?
 
Tanesco, piga Ile simu ili upate huduma.
Kama huja tumia dakika zaidi ya 10.

Yaani mtu yuko mkoani, ila simu Ina pelekwa makao makuu.
Sijui moto uki tokea Ina kuwaje!

January si ndo ali uleta na yeye kasha ondoka, utoeni basi.
 
Ifikie wakati serikali ibaki na miongozo tu kutoa huduma hawawezi Hawa
Tanesco, piga Ile simu ili upate huduma.
Kama huja tumia dakika zaidi ya 10.

Yaani mtu yuko mkoani, ila simu Ina pelekwa makao makuu.
Sijui moto uki tokea Ina kuwaje!

January si ndo ali uleta na yeye kasha ondoka, utoeni basi.
 
Kuna kimeo kimoja POSTA Mwanza 😀
Sitaki ugomvi na mtu ila kuna vidada viwili:
1. Sakina Mohamed
2. Juliana Flavian
Hawa ni kiboko ya kuotea mbali yaani hawaogopi kukuambia kuwa wamechoka na hapo ni saa 3 asubuhi! Ku*****ke Yaani nilienda kupokea barua juzi nilimtazama huyu Sakina mpaka akaina chini kwa aibu! Nimekwenda ofisini saa 3 kasoro halafu mpaka saa 6 na nusu bado wanajizungusha! Nakuja kupewa barua mwishoni kabsa kametoka lunch Ku*****ke zake!
 
Kuna kimeo kimoja POSTA Mwanza 😀
Sitaki ugomvi na mtu ila kuna vidada viwili:
1. Sakina Mohamed
2. Juliana Flavian
Hawa ni kiboko ya kuotea mbali yaani hawaogopi kukuambia kuwa wamechoka na hapo ni saa 3 asubuhi! Ku*****ke Yaani nilienda kupokea barua juzi nilimtazama huyu Sakina mpaka akaina chini kwa aibu! Nimekwenda ofisini saa 3 kasoro halafu mpaka saa 6 na nusu bado wanajizungusha! Nakuja kupewa barua mwishoni kabsa kametoka lunch Ku*****ke zake!
Wapuuzi Sana Hawa watu....
 
Back
Top Bottom