Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Nyoosha mkono mkuu lasivyo utakaa sana huku kwetu tumetumia wiki tu maji haya hapa....Kama ni ubungo au kibamba nahitaji mbinu ulizotumia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoosha mkono mkuu lasivyo utakaa sana huku kwetu tumetumia wiki tu maji haya hapa....Kama ni ubungo au kibamba nahitaji mbinu ulizotumia mkuu
Yes ipo nayo ni TanescoTaasisi nyingi za serikali zinafanya kazi kwa mazoea, kiufupi hawajali kabisa kuhusu muda wa mteja. Utaambiwa Mtandao unasumbua, au rudi kesho kana kwamba leo wamesimamishwa kazi. Utafikiri hawalipwi mishahara. Kama hamtaki kutuhudumia si mseme, mnakera kweli.
Nitatolea mfano DAWASA, kitengo cha wateja wapya (new connections) Hawa watu ni wababaishaji kupita maelezo. Wanakujibu wanavyotaka, Kama DAWASA haiwezi kuunganisha maji kwanini wasi -outsource kwa wakandarasi? Kuna watu wamemaliza miezi 6 na zaidi bila kuunganishwa. Huduma zenu mbovu.
DAWASA wabaki kuregulate maji, hizo kazi zingine wawape watu binafsi wanakera Sana.
Bado kwenye usomaji wa mita, dah. DAWASA MNABOA