Kuna Taasisi ya Serikali inatoa control number fake, niripoti wapi??

Kuna Taasisi ya Serikali inatoa control number fake, niripoti wapi??

keshobora

Member
Joined
Jun 5, 2024
Posts
32
Reaction score
76
Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash wakanipa huduma. Ila ukihakiki ile control number inaonesha ipo invalid maana yake kuna wajanja wanakula hela.

Naomba kujua nitumie chanel gani kuweza kuripoti wizi huu kwa serikali? Maana hawa jamaa wanacheleweshea watu huduma kwa sababu ya tamaa zao, mtu unazunguka kwa mawakala, kwenye simu unajaribu kulipia control namba haisomi, halafu baadae kabisa ndo wanakuambia leta hela yako tukupe huduma haipo fair kabisa na serikali inapoteza mapato mengi sana.
 
Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash wakanipa huduma. Ila ukihakiki ile control number inaonesha ipo invalid maana yake kuna wajanja wanakula hela.

Naomba kujua nitumie chanel gani kuweza kuripoti wizi huu kwa serikali? Maana hawa jamaa wanacheleweshea watu huduma kwa sababu ya tamaa zao, mtu unazunguka kwa mawakala, kwenye simu unajaribu kulipia control namba haisomi, halafu baadae kabisa ndo wanakuambia leta hela yako tukupe huduma haipo fair kabisa na serikali inapoteza mapato mengi sana.
Kwa Makonda
 
Njoo inbox tukachukue pesa kwenye hiyo tasisi maana wanalindana hao ukienda report sehemu watatafutana wanamalizana kwakua tz sasa ni shamba la bibi uzalendo hatutaki njo inbox tukachukue ada za watoto shule njoo tukachukue bahasha yetu na sisi hii nchi yetu sote
Wewe jamaa una akili sana. Ukweli ndiyo huo. Mtafutane, mnajifanya kama ni PCCB au Polisi au M-Tiss basi mnatinga na hiyo fake Control kwa mkuu wa hiyo taasisi mnasema mmetumwa kuchunguza, aisee mtakula mpunga.
 
Njoo inbox tukachukue pesa kwenye hiyo tasisi maana wanalindana hao ukienda report sehemu watatafutana wanamalizana kwakua tz sasa ni shamba la bibi uzalendo hatutaki njo inbox tukachukue ada za watoto shule njoo tukachukue bahasha yetu na sisi hii nchi yetu sote
Hao jamaa utawaweza kwa staili hiyo maana wenyewe wapo na nguvu sana kwa nilivyowaona inatakiwa watu wanaojua kuchnguza kwa kufuatilia
 
1/9 lost away - wajanja wanasukuma mandinga mapya mijini na ndiyo sababu ya gari namba E, kujaa mijini!
 
Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash wakanipa huduma. Ila ukihakiki ile control number inaonesha ipo invalid maana yake kuna wajanja wanakula hela.

Naomba kujua nitumie chanel gani kuweza kuripoti wizi huu kwa serikali? Maana hawa jamaa wanacheleweshea watu huduma kwa sababu ya tamaa zao, mtu unazunguka kwa mawakala, kwenye simu unajaribu kulipia control namba haisomi, halafu baadae kabisa ndo wanakuambia leta hela yako tukupe huduma haipo fair kabisa na serikali inapoteza mapato mengi sana.
PM Kama unahitaji msaada pls
 
Hii ilikuwa hela ya wazi kabisa kwako mkuu ,Ila mpate mwenye kitambulisho Kati ya hawa PCCB ,POLISI AU TISS ili kufa kuwe kufaana.

By the way pole kwa yote yaliyokukuta
 
Back
Top Bottom