Kuna tabia nyumba za kupanga wapangaji wa kike kukaa karibu na njia ya kwenda chooni

Kuna tabia nyumba za kupanga wapangaji wa kike kukaa karibu na njia ya kwenda chooni

NHC ni mali ya CCM kama vilivyo viwanja vya michezo nchi...

Hapo anayetumika ni nani kama sio wewe unayekaa uswahilini badala ya kupambana na wezi ukae ushuwani..

Endelea kujitafuta ila hizo ni apartment za maza enu hadi pale mtakapomfurusha ikulu.
 
Mkuu kama umeniona vile, tena anaenda kufulia karb na choo unaamka zako weekend unakutana na kisanga kama hcho dadeki hua narud kutulia na mzgo wangu
 
Back
Top Bottom