chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Nchi yetu kuna mambo ya ajabu sana pale idadi ya vikwonge kushambuliwa kwa tuhuma za kudai ni wachawi.
hii imejengeka sana tanzania kote na msemo huu ulisha kuwa na mizizi kwa watu ambao bado stage ya kufikia uzee kutumia :" Mzee mchawi, Mzee mwanga"
Je, stage ya uzee ndio stage ya hayo watu wameweka akilini mwao.
Kipindi cha nyuma kulitokea mauaji mengi yanayo shutumu wa wazee kwa sababu ya imani tulizozijijengea.
Kumbukeni imani uliyojijengea na wewe unaenda kuzeeka utakubali au utajisikiaje.
hii imejengeka sana tanzania kote na msemo huu ulisha kuwa na mizizi kwa watu ambao bado stage ya kufikia uzee kutumia :" Mzee mchawi, Mzee mwanga"
Je, stage ya uzee ndio stage ya hayo watu wameweka akilini mwao.
Kipindi cha nyuma kulitokea mauaji mengi yanayo shutumu wa wazee kwa sababu ya imani tulizozijijengea.
Kumbukeni imani uliyojijengea na wewe unaenda kuzeeka utakubali au utajisikiaje.