Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,204
- 5,710
Subaru Exiga, Hizi ni gari zilizotolewa kuanzia mwaka 2008.
Ni gari nzuri kwa familia kwakweli, Tangu mwaka juzi nimekuwa nikiangalia Kodi yake kwenye calculator ya TRA, kodi haipungui mil 20 huku wakikadria ina CIF ya USD 8000
Ukweli wa gari hii zimejaa kwenye web za mauzo ya magari ya japan, nyingi na hazina hata CIF ya USD 3000, nyingi hata za 2010, FOB yake ni mpk usd 600 kuendelea mpk usd 1800 FOB
Sasa swali langu kwenu wadau na TRA particulary kuna tatizo gani mpaka iwe na makadrio ya juu hivi?
Mwaka 2016 niliwatumia email huduma kwa mlipa kodi kuomba wafanye review ya hio gari lakini bahati mbaya haikujibiwa.
Kama kuna wenye ufahamu humu ama maafisa wa TRA tusaidieni. Tujue
#picha zote kwa hisani ya SBT Japan
Ni gari nzuri kwa familia kwakweli, Tangu mwaka juzi nimekuwa nikiangalia Kodi yake kwenye calculator ya TRA, kodi haipungui mil 20 huku wakikadria ina CIF ya USD 8000
Ukweli wa gari hii zimejaa kwenye web za mauzo ya magari ya japan, nyingi na hazina hata CIF ya USD 3000, nyingi hata za 2010, FOB yake ni mpk usd 600 kuendelea mpk usd 1800 FOB
Sasa swali langu kwenu wadau na TRA particulary kuna tatizo gani mpaka iwe na makadrio ya juu hivi?
Mwaka 2016 niliwatumia email huduma kwa mlipa kodi kuomba wafanye review ya hio gari lakini bahati mbaya haikujibiwa.
Kama kuna wenye ufahamu humu ama maafisa wa TRA tusaidieni. Tujue
#picha zote kwa hisani ya SBT Japan