J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Apr 9, 2023 #2 Hatari sana
G Gulwa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2008 Posts 10,597 Reaction score 16,394 Apr 9, 2023 #3 Idugunde said: View attachment 2582224 Click to expand... Chini ya DCI tapeli, mwongo na muuaji?
K kolola JF-Expert Member Joined Apr 26, 2020 Posts 7,185 Reaction score 9,425 Apr 9, 2023 #4 Gulwa said: Chini ya DCI tapeli, mwongo na muuaji? Click to expand... Una uhakika na ulisemalo
Mbekenga JF-Expert Member Joined Jun 14, 2010 Posts 3,262 Reaction score 8,144 Apr 9, 2023 #5 Si tulikubaliana kwamba mauaji yalikoma baada ya awamu ya tano?
Malafyale Platinum Member Joined Aug 11, 2008 Posts 13,833 Reaction score 11,173 Apr 9, 2023 #6 Idugunde said: View attachment 2582224 Click to expand... Mkuu upo serious kweli? Yaani tume ya kuichunguza Polisi iongozwe tena na Polisi tena DCI Kingai? Kuwa serious pls
Idugunde said: View attachment 2582224 Click to expand... Mkuu upo serious kweli? Yaani tume ya kuichunguza Polisi iongozwe tena na Polisi tena DCI Kingai? Kuwa serious pls
BabuFey JF-Expert Member Joined Feb 13, 2023 Posts 1,659 Reaction score 2,913 Apr 9, 2023 #7 Watu wa Dar es Salam bora waende Jehanum kuliko kwenda kuhojiwa kituo cha Stakishari
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Apr 9, 2023 #8 Waache kuuwa watuhumiwa kwani wanawalisha wao? Mahakama zipo wapelekwe
valet de chambre JF-Expert Member Joined Mar 12, 2017 Posts 1,044 Reaction score 1,112 Apr 9, 2023 #9 kolola said: Una uhakika na ulisemalo Click to expand... Mzee wa "Mbowe hapa Sasa huchomoki".
Bramo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 13,176 Reaction score 10,068 Apr 9, 2023 #10 Idugunde said: View attachment 2582224 Click to expand... Mpaka sasa hivi sielewi kabisa Merits zilizotumika kumpa Kingai u DCI Huenda tuna Polisi ya Hovyo sana Kama nchi
Idugunde said: View attachment 2582224 Click to expand... Mpaka sasa hivi sielewi kabisa Merits zilizotumika kumpa Kingai u DCI Huenda tuna Polisi ya Hovyo sana Kama nchi
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,898 Reaction score 14,413 Apr 9, 2023 #11 Kama anahusika na utekaji wa magari polisi wamefanya vizuri kimya ha ajinyonge
HORSE POWER JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 2,238 Reaction score 1,577 Apr 9, 2023 #12 Kajinyonga ndani ya kituo cha polisi?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 9, 2023 #13 Wauliwe tu hao wezi...