john b kimatare kimaro
Member
- Aug 4, 2014
- 20
- 36
Kuna tatizo kubwa sana katika nchi yetu ambalo lisipopatiwa ufumbuzi hii nchi kuna siku tutauzwa wote bila kuijua.
1. Tatizo la kwanza ni kutojali na rushwa.
2. Kutoheshimu taaluma za watu.
3. Ubinafsi na kujilimbikizia mali
4. Ujinga na uchawa.
5. Uongo
1. Tatizo la kwanza ni kutojali na rushwa.
2. Kutoheshimu taaluma za watu.
3. Ubinafsi na kujilimbikizia mali
4. Ujinga na uchawa.
5. Uongo