Kuna tatizo kubwa sana kwenye ndoa sasa hivi, kwani tatizo la wanandoa kutokuwa waaminifu ni kubwa mno

Kuna tatizo kubwa sana kwenye ndoa sasa hivi, kwani tatizo la wanandoa kutokuwa waaminifu ni kubwa mno

Hakika umenena...

Media sasa hivi ndiyo zinaeneza sana propoganda na kuonekana kuna matatizo kumbe hakuna chochote...
Tena kama kumix mtoto ndani ya ndoa 😁 ilikua kawaida, ndoa ina watoto saba wawili sio wa dingi na unakuta dingi anajua....ila wazee wetu walikua na vifua aseee.

Sahivi kelele miiiingiii utadhani ndio kitu kipya kumbe marudio
 
Tena kama kumix mtoto ndani ya ndoa 😁 ilikua kawaida, ndoa ina watoto saba wawili sio wa dingi na unakuta dingi anajua....ila wazee wetu walikua na vifua aseee.

Sahivi kelele miiiingiii utadhani ndio kitu kipya kumbe marudio
Hakika, ukiendekeza media kwa kuamini kila jambo unaweza sema mwisho wa dunia umefika...

Haya mambo yapo toka enzi na enzi hakuna jipya...
 
Kuna tatizo kubwa sana kwenye ndoa sasa hivi kwani tatizo la wanandoa kutokuwa waaminifu ni kubwa mno. Unakuta Mume na Mke wote wanatoka nje ya ndoa. Mimi kama mwanamume nakiri kabisa tatizo kubwa lina anzia kwa wanaume kwa factors nyingi ila mimi nitaomba tujadili factor moja tu na ndo maana hii mada nikaiweka hapa jukwaani.

1. Wanaume kutowarizisha wake zao - Ukweli ni kwamba wanaume wengi hawapigi mzigo nyumbani either sababu ya kuchepuka sana nje, majukumu, ulevi au upungufu wa nguvu za kiume ambalo nalo ni tatizo kubwa sana sasa hivi.

Mimi nimeshatembea na wake za watu karibia kumi hivi na wote sababu kubwa anasema mumewe hamtii au hamrizishi. Wengine unakuta wana miaka mitatu tu ya ndoa lakini tayari shemeji analalamika kutorizishwa na mumewe.

Hili janga ni kubwa sana na ndio maana wamama wengi especially 35 and above wanatoka sana nje ya ndoa.

Sasa wanaume lazima tujirekebishe inatakiwa tuwagonge hawa wamama na kama tatizo ni nguvu za kiume basi Ma Dakrati watusaidie.
Ndoa haijengwi kwa sex tu, hao ni Malaya tu kama wanaojiuza uku mtaani, unakuta binti wa miaka 16-35 anatembea na wanaume zaidi ya kumi kwa siku, akija olewa huyo so itakuwa janga kwa mume wake, siku hizi wanawake wengi wanaolewa tayari wameshatembea na mituringa za size mbalimbali, bahati mbaya ukiwa na kibamiya inakuwa kazi kweli kweli. Kuridhishwa kwa mwanamke ni yeye anavyopokea tendo la ndoa wengine ukiingiza tu mwanamke keshamaliza, wengine unaweza ning'inia kwa saa lakini wapi Ina maana huyo keshaonja mituringa ya kutosha. Hivyo wanawake walioko kwenye ndoa hawana tofauti na hawa Malaya wa mitaani kwenu wanaojiuza
 
Back
Top Bottom