kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 464
- 447
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikisikia na kushuhudia katika mikoa baadhi ya mikoa juu ya muda utoaji wa TIN. Mwaka 2014 nilimsindikiza rafiki yangu mmoja kwenda kuchukua TIN kwa ajili ya biashara huko Tabora. Tulifika saa nne asubuhi katika ofisi za TRA na kufikia saa tisa mchana tukawa tumepata TIN.
Lakini pia kuna rafiki yangu ameniambia kuwa kwa Moshi pia inachukua siku moja tu kupata TIN.
Hali ni tofauti kabisa katika jiji la Mwanza, nimeanza kufatilia TIN toka week iliyopita mpk leo bado hata dalili ya kupewa sijaona. Siku ya kwanza Nilienda nikiwa na kitambulisho changu cha taifa baada ya kufika nikaambia nikalete barua ya Mwenyekiti wa mtaa baada ya kupeleka barua toka week iliyopita mpk sasa bado TIN sijaipata kila siku nikienda naambiwa njoo kesho maombi ni mengi. Lakni naona kuna mazingira ya rushwa yanatafutwa katika hili. Naomba Mamlaka itazame jiji la Mwanza kuhusu utoaji wa TIN.
Lakini pia kuna rafiki yangu ameniambia kuwa kwa Moshi pia inachukua siku moja tu kupata TIN.
Hali ni tofauti kabisa katika jiji la Mwanza, nimeanza kufatilia TIN toka week iliyopita mpk leo bado hata dalili ya kupewa sijaona. Siku ya kwanza Nilienda nikiwa na kitambulisho changu cha taifa baada ya kufika nikaambia nikalete barua ya Mwenyekiti wa mtaa baada ya kupeleka barua toka week iliyopita mpk sasa bado TIN sijaipata kila siku nikienda naambiwa njoo kesho maombi ni mengi. Lakni naona kuna mazingira ya rushwa yanatafutwa katika hili. Naomba Mamlaka itazame jiji la Mwanza kuhusu utoaji wa TIN.