Kuna nyuzi humu kuzielewa unatakiwa uwe umesoma elimu ya mkoloni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah wajinga kama ww hawawezi kuelewa.
Wafuasi wa kigogo mna tabu sana.
Vipi waziri wenu kigogo hajaweka video zingine za makaburini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wako unahusianaje na kigogo? Naina unaendelea kudhihirisha ujinga wako.
Huko makaburini mnaweza kufukia kimya kimya... Ila mkifa hapo Lumumba haitokuwa siri.
Kachukue buku 7 yako ukale maana njaa tu ndo inaonekana hapa.
Idiot
Hawastahili wametuzalia kiumbe cha ajabu.....Kwani Chato hawahitaji Huduma za afya na ulinzi?
umeshaelewa.Unataka kusema nini? Maana naona unazunguuuuka sana hebu tuweke bayana.
Akifa Baba ako unazani utasema sana?Huu uzushi wa Chadema tushazizoea
Huu uwongo
Ha ha ha ha...
Tuma basi hata video nasi tujionee hiyo lockdown ya Chato. Otherwise hii ni sawa na mimi nianzishe uzi nidai huku Bunda hali ni tete na kuna lockdown.Chato hali ni tete lockdown inaendelea hakuna kutoka wala kuingia