Kuna tatizo mahali kwa viongozi wa Simba, mnawezaje kuruhusu wachezaji wahojiwe na kutamba kuhusu Derby?

Kuna tatizo mahali kwa viongozi wa Simba, mnawezaje kuruhusu wachezaji wahojiwe na kutamba kuhusu Derby?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimesikitishwa na kuona mahojiano ya mchezaji wa Simba anayetamba eti ni lazima aifunge Yanga na kwamba haamgalii mabeki walio nao.

Jambo hili linasikitisha sana ukizingatia kuwa hizi ni tabia za wachezaji wa timu ndogo kutamba tamba lakini hatimae hufungwa tu.

Wakatazeni wachezaji wasiongee ongee kwani hata vizee vyao tunavijua vinatafuta watu wanaokamia mechi viwafanyie mazonge zonge.

Halafu sio sawa kwa wachezaji kuonesha wameikamia mechi.Kwa nini msiwaache yanga waingie wakijua wanashinda kisha muwashangaze?

Binafsi sioni tunashindaje hiyo mechi kwani tunapwaya uwanjani na nje ya uwanja
 
Mind games lakini itabuma spectacularly
 
Simba ipunguze hizi Media Days. Najua Simba imeteka mitandao kwa wiki hizi mbili tatu hasa baada ya kushinda kwenye ligi mfululizo na kumtoa mlibya, ila si juzi tu hapa kulikuwa na Media Day nyingine kule Bunju?

Naelewa lengo ni kuteka mitandao maana Yanga iliachwa itawale vyombo vya habari kwa muda mrefu saaana hadi ikaonekana kama waandishi wa habari wako mifukoni mwa GSM. Nadhani Simba ya sasa inataka kuweka mizania sawa na kurudisha heshima ya Simba. Kama umenotice, Yanga imepoa sana mitandaoni kwa wiki hizi tatu tofauti na kawaida. Hii ni effect ya Simba inachokifanya sasa.

Ila naona kama Media Day zenyewe haziandaliwi ipasavyo kupata maximum impact. Wazo zuri ila liandaliwe kwa umakini zaidi.

Nakubaliana na mleta mada, ningependa Simba irudi enzi za kuficha timu kuelekea derby, inaleta mzuka fulani usipowaona wachezaji kwa wiki mbili wakiwa wamefichwa kambini wakijifua.
 
Nimesikitishwa na kuona mahojiano ya mchezaji wa Simba anayetamba eti ni lazima aifunge yanga na kwamba haamgalii mabeki walio nao.

Jambo hili linasikitisha sana ukizingatia kuwa hizi ni tabia za wachezaji wa timu ndogo kutamba tamba lakini hatimae hufungwa tu.

Wakatazeni wachezaji wasiongee ongee kwani hata vizee vyao tunavijua vinatafuta watu wanaokamia mechi viwafanyie mazonge zonge.

Halafu sio sawa kwa wachezaji kuonesha wameikamia mechi.Kwa nini msiwaache yanga waingie wakijua wanashinda kisha muwashangaze?

Binafsi sioni tunashindaje hiyo mechi kwani tunapwaya uwanjani na nje ya uwanja
Hakika munapwaya mbele na Nyuma, tena Nyuma munapwaya zaidi mpaka mukichuchumaa munajamba.
 
Nimesikitishwa na kuona mahojiano ya mchezaji wa Simba anayetamba eti ni lazima aifunge Yanga na kwamba haamgalii mabeki walio nao.

Jambo hili linasikitisha sana ukizingatia kuwa hizi ni tabia za wachezaji wa timu ndogo kutamba tamba lakini hatimae hufungwa tu.

Wakatazeni wachezaji wasiongee ongee kwani hata vizee vyao tunavijua vinatafuta watu wanaokamia mechi viwafanyie mazonge zonge.

Halafu sio sawa kwa wachezaji kuonesha wameikamia mechi.Kwa nini msiwaache yanga waingie wakijua wanashinda kisha muwashangaze?

Binafsi sioni tunashindaje hiyo mechi kwani tunapwaya uwanjani na nje ya uwanja
It's football psychology.
 
Back
Top Bottom