zanzibar 62
Member
- May 7, 2009
- 15
- 0
GT kama kweli upo Unguja hii tathimini ya BBC unaikataa unaonekana wewe ni mbishi wa asili au la upo mbali na jamii ya WASHIRAZI. But for me naikubali kwa 90% kuwa ni ukweli shukuru Mungu familia yako haijaadhirika na hilo janga but Most of young man huko unguja wanatumia sana madawa ya kulevya hii yote wanaifanya kutafuta mbadala wa pombe.Unguja niijuavyo mimi kijana avutae bangi/*******/****** anaonekana msafi kimaadili kuliko anaye kunywa pombe.
unajua maana ya ``washirazi``
washirazi maana yake ni watumwa waliopewa nguvu na wana mapinduzi
unajua maana ya ``mapinduzi``
mapinduzi ni yale yalioletwa kutoka bara na waliofanya mapinduzi ni wabara na kuwapa washirazi waharibifu wa zanzibar.
chama cha mapinduzi asili yake bara (mapinduzi daima) ndio ukaona kila uchaguzi jeshi kutoka bara pamoja na polisi
bbc pale karume aliposema suala la muungano waulizwe wazanzibar wa kweli walishindwa kumuuliza
1. yupi mzanzibar wa kweli?
2.asili yake yeye ni wa kweli au wa uongo?
3.vipi pale wazanzibar walipomkataa?
4.au wazanzibar ni watanganyika wale waliomueka?
lakini bbc pale walipoligusia suala la muungano walifukuzwa zanzibar na smz
na wale waliowapata kuupenda muungano ni wahamiaji watupu wanaokaa bila ya sheria na kufurahia zanzibar
unga unaonjeshwa kwanza bure pale unapokuwa na mashaka ya kimaisha na dili hii imetokana na washirazi na wanamapinduzi ili kuwamaliza wazanzibar.
na vyombo vya usalam wote wanajua suala hilo na kila duka wanalijua lakini ni ajenda isiyo ya siri inajulikana