Kuna 'teja' kwa kila familia Zanzibar-BBC utafiti.



unajua maana ya ``washirazi``

washirazi maana yake ni watumwa waliopewa nguvu na wana mapinduzi

unajua maana ya ``mapinduzi``
mapinduzi ni yale yalioletwa kutoka bara na waliofanya mapinduzi ni wabara na kuwapa washirazi waharibifu wa zanzibar.

chama cha mapinduzi asili yake bara (mapinduzi daima) ndio ukaona kila uchaguzi jeshi kutoka bara pamoja na polisi

bbc pale karume aliposema suala la muungano waulizwe wazanzibar wa kweli walishindwa kumuuliza

1. yupi mzanzibar wa kweli?
2.asili yake yeye ni wa kweli au wa uongo?
3.vipi pale wazanzibar walipomkataa?
4.au wazanzibar ni watanganyika wale waliomueka?

lakini bbc pale walipoligusia suala la muungano walifukuzwa zanzibar na smz
na wale waliowapata kuupenda muungano ni wahamiaji watupu wanaokaa bila ya sheria na kufurahia zanzibar

unga unaonjeshwa kwanza bure pale unapokuwa na mashaka ya kimaisha na dili hii imetokana na washirazi na wanamapinduzi ili kuwamaliza wazanzibar.

na vyombo vya usalam wote wanajua suala hilo na kila duka wanalijua lakini ni ajenda isiyo ya siri inajulikana
 
Baa tena? Fanya utembelee huko! Zenj hakuna taputapu, ndio maana tende ipo juu baada konyagi...
Zamani zile Mahonda iliokoa wengi na Sundown zao....


umechelewa patupatu imeingia toka 1964 imeletwa na wamakonde

alafu nikuulize? wewe mmakonde nini?

kuna pombe mpaka inayotengezeza mkojo
 


kuna familia nyiengine zote teja.

kuanzia baba, mama na watoto.

na ukikosa hapo bazi wengine wizi familia nzima
 
BBC ni idhaa ya propaganda za ukiristo na ukafiri kwa ujumla ikiwa nyuma ya pazia la umagharibi. Hakuna mateja kwa kila familia Zanzibar, kauli hii ni ya Kijahili.
 
BBC ni idhaa ya propaganda za ukiristo na ukafiri kwa ujumla ikiwa nyuma ya pazia la umagharibi. Hakuna mateja kwa kila familia Zanzibar, kauli hii ni ya Kijahili.
Weeeeeeeee usilete habari za udini kwenye hii la mateja na unguja.
mzee hili swala haliusiani na udini hata kidogo na ni ukweli mtupu kaka.
Mimi ni ustaadhi wa swala tano, ungeelekeza lawama kwa serikali ya SMZ na wala siyo propaganda. wewe wa wapi?
 
sisi familia yetu iko unguja na hakuna mbwia unga

typical BBC

washakosa cha kuripoti

hivi na wao tukisema kuwa BBC swahili kumejaa walevi na wazinzi watakubali?

GT ni mmoja ya wachangiaji ninaowakubali sana, lakini kwa hili, I have to dis-credit you mkuu!!!!!!!!!!!

Wanaposema kila familia, that is on average basis! Inawezekana hata familia kumi hazina hata mbwia unga lakini ukakuta familia nyingine kumi kuna kila familia mateja 3! ndio maana wakasema kila familia ina teja.

Usinifanye niamini kwamba hukuwahi kufanya research huko ulikopita!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…