Tetezi =tezi dume
Hata akija na jeshi zima la USA ili wamlinde amini amini nawaambia ataoga chupa za mkojo stejini kama kichwani ana akili angalau za kuvukia barabara bora akatae.
aoge chupa za mikojo kisa hayo malumbano yao na dimond....? huu ugomvi wao bora ukachukue jembe ukalime.....mana wakipata wew chukua kapu ukavune.......
aoge chupa za mikojo kisa hayo malumbano yao na dimond....? huu ugomvi wao bora ukachukue jembe ukalime.....mana wakipata wew chukua kapu ukavune.......
aoge chupa za mikojo kisa hayo malumbano yao na dimond....? huu ugomvi wao bora ukachukue jembe ukalime.....mana wakipata wew chukua kapu ukavune.......
nani kakuambia davido ana ugomvi na diamond? kama hujui bora ukae kimya tu.
Ameidiss Tanzania, sio Diamond
Wewe ni m-Tz wa kuzaliwa au wa makaratasi ya uhamiaji?ngoja aguse Tz utanielewa maana nahisi ni mgeni na mbilinge za mashabiki wa Bongo wakiamua kukinukisha lazima kinuke kama unahitaji mifano hai nijuze nitakupa.