Kuna tetesi Davido kutumbuiza Big brother party in Dar

Kuna tetesi Davido kutumbuiza Big brother party in Dar

Wewe ni m-Tz wa kuzaliwa au wa makaratasi ya uhamiaji?ngoja aguse Tz utanielewa maana nahisi ni mgeni na mbilinge za mashabiki wa Bongo wakiamua kukinukisha lazima kinuke kama unahitaji mifano hai nijuze nitakupa.

Haya ni matunda yakukosa kazi! Yaani unajiona wewe ndio mtanzania kwa upuuzi kama huu unaotaka kufanya?
Acheni ujinga vijana.....
Mtanzania wa kweli bado anapambana na maadui watatu + wa nne aliyejiongeza.....bado anapambana na ujinga,maradhi,umaskini + ufidi....
Ugomvi au maneno kati ya watu wawili (diamond vs davido au wema vs zari) haiwezi kuwa agenda ya nchi hii au agenda ya mtanzania mwenye akiri timamu labda wapuuzi wapuuzi kama wewe......
Huu ujinga sijui mnaupata wapi vijana wa leo....

Kwa mawazo kama yako inanifanya niamini nchi hii itapata shida sana,nchi hii ina balaa,nchi inameza walevu inaacha wajinga wajinga tu kama wewe + mtoa mada.
Kwa mawazo haya naona DIV 5 ya Kawambwa inawafaa vijana wa leo.
..
 
Muacheni aje tu tunamkaribisha kiroho safi ili akirudi akawasimulie mapimbi wenzake sisi b*tch country(kama wanavyotuita) ni watu wa aina gani...It aint over till it's over
 
Haya ni matunda yakukosa kazi! Yaani unajiona wewe ndio mtanzania kwa upuuzi kama huu unaotaka kufanya?
Acheni ujinga vijana.....
Mtanzania wa kweli bado anapambana na maadui watatu + wa nne aliyejiongeza.....bado anapambana na ujinga,maradhi,umaskini + ufidi....
Ugomvi au maneno kati ya watu wawili (diamond vs davido au wema vs zari) haiwezi kuwa agenda ya nchi hii au agenda ya mtanzania mwenye akiri timamu labda wapuuzi wapuuzi kama wewe......
Huu ujinga sijui mnaupata wapi vijana wa leo....

Kwa mawazo kama yako inanifanya niamini nchi hii itapata shida sana,nchi hii ina balaa,nchi inameza walevu inaacha wajinga wajinga tu kama wewe + mtoa mada.
Kwa mawazo haya naona DIV 5 ya Kawambwa inawafaa vijana wa leo.
..

kama una uchungu sana na taifa kaanze na Chenge ambaye kakuibia pesa mob na pia dada yako aliyemtoa kijijini kwenda kuwa beki tatu kwake bado anamlipa 30,000/= kwa mwez
 
Hawa hawa waliomzomea Diamond dhidi ya Kiba ndio wanaomdis Davido dhidi ya Diamond.

Hawa hawa waliomlazimisha Wema aachane na Diamond na ndio hawahawa wanaoponda uhusiano wa Zari na Diamond.

Wabongo wengi ni bendera fuata upepo, Mwacheni diamond bado anawahitaji wanaigeria zaidi kuliko wao wanavyomhitaji yeye.

Na bado siku diamond akifanya kolabo na dovido ndio watakaokua wa Kwanza kumshangilia.
 
Haya ni matunda yakukosa kazi! Yaani unajiona wewe ndio mtanzania kwa upuuzi kama huu unaotaka kufanya?
Acheni ujinga vijana.....
Mtanzania wa kweli bado anapambana na maadui watatu + wa nne aliyejiongeza.....bado anapambana na ujinga,maradhi,umaskini + ufidi....
Ugomvi au maneno kati ya watu wawili (diamond vs davido au wema vs zari) haiwezi kuwa agenda ya nchi hii au agenda ya mtanzania mwenye akiri timamu labda wapuuzi wapuuzi kama wewe......
Huu ujinga sijui mnaupata wapi vijana wa leo....

Kwa mawazo kama yako inanifanya niamini nchi hii itapata shida sana,nchi hii ina balaa,nchi inameza walevu inaacha wajinga wajinga tu kama wewe + mtoa mada.
Kwa mawazo haya naona DIV 5 ya Kawambwa inawafaa vijana wa leo.
..

Umetumia nguvu kuelezea jambo dogo sana,umeulewa mchango wangu lakini nimejiweka kundini kwa kua ni m-TZ ila niliko mimi na hilo tukio ni mbali sana BTW ushaona reaction ya watu IG nadhani hatuhitaji kutumia vyeti vyetu vya Std VII kujua nini kitatokea akija bongo.
Karibu kwa maelezo zaidi ila relax hizi social networks tu.
 
Back
Top Bottom