Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

anhaaa nyie watu mnakeraaa lini uwezo wenu wakufikiri utakua??
 
Kusema Sefu hawezi kuwa rais wa Zanzibar pia ni unazi.
 
Kama unaamini Obama hawezi kufanya hivyo, basi Trump atafanya. Kumbuka ataapishwa muda si mrefu.
 
Sisi watz safari hii ni lazima tupate akili. Na bado kibano Zaidi kitakuja.
 
kuna mtu yupo pale magogoni nasikia hataki kupokea simu za us embassy.
 
Hakuna anefurahia hilo janga...
The point here is CCM wanatakiwa kujiifunza kuheshimu maamuz ya raia
 
CDC nasikia wanarudishwa serikalini, USAID-Tanzania nilisikia wanaondoka!!!! Haya ngoja tuiombee Tanzania oohhht sorry kumbe tumeambiwa kila MTU abebe mzigo wake mwenyewe!!!! Nilisahau
 
Bado MNA mawazo ya kikoloni tu. Magufuli amejipanga. Kwani marekani ni mungu?
 
Hivi Marekani wanakusaidia nini? na ni nani atakayetamka na kuikemea marekani kwa sintofahamu ya uchaguzi wao wa juzi, kauli kama hizi za kutishia nchi huru yenye watu huru ni upuuzi na inatokana na watu wa hovyo.
You're burking up the wrong tree.
 
Sawa,ilimradi havitamfikia quinine ila nyangema tu.
HV it's UPI by uu7iioookkkkkj
Hizo ni kauli za Kisiasa.Kama Mgogoro usingekuwepo CUF wasingesusia Sherehe za Mapinduzi.



 
"Waache waweke vikwazo vyao. kwani sisi tuna shida gani? Tumeshaanza tayari kuwa nchi ya viwanda na matumizi tumeshabana vya kutosha huku makusanyo tukivunja rekodi kila mwezi. Hata wakiweka vikwazo nina imani tutakuwa na uwezo wa kujiendesha wenyewe bila kuwategemea wao."
 
Ilazimishe mazungumzo ya nini wakati tayari umeshasema kila kitu kilifanyika kwa utaratibu na hakuna shida popote?
 
Tanzania hatuchezewi!! Sisi ni washirika muhimu eneo la maziwa makuu!!! Wanalijua hilo.
 
Hizi tetesi zako ni za kupuuza tena Sana. Niujinga mtu kuamini hayo
 
Ndio maaaana misaada ya wahanga wa tetemeko serikali ya magufuli imei swindle!!!!!!
Hakuna laana mbaya kama kula hela za rambirambi. Maana katika huo msaada kulikuwepo na rambirambi kwa waliopoteza ndugu zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…