Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Ni Nchi gani duniani imeshawekewa vikwazo duniani kwa ajili ya mambo ya uchaguzi ??hv mnajua maana ya vkwazo vya uchumi?au kusitisha misaada kuna vikwazo na kusitisha misaada vikwazo vinatolewa na UN si nchi moja moja na vikwazo unawekewa kwa idadi ya moja ya tatu ya kura zote zitakazo pigwa na wanachama wa UN

Tanganyika imesitisiwa misaada na taasisi za misaada si serikali ya Marekani leo NSSF wakikataa kukupa misaada si kwamba serikali ya Tanganyika ndo imekataa kukupa misaada Millennium Development Goals (MDGs) ni taasisi ya kimarekani si serikali ya marekani
Mbona Obama kawawekea vikwazo urusi

Je baraza la UN walipiga kura
 
Ni Nchi gani duniani imeshawekewa vikwazo duniani kwa ajili ya mambo ya uchaguzi ??hv mnajua maana ya vkwazo vya uchumi?au kusitisha misaada kuna vikwazo na kusitisha misaada vikwazo vinatolewa na UN si nchi moja moja na vikwazo unawekewa kwa idadi ya moja ya tatu ya kura zote zitakazo pigwa na wanachama wa UN

Tanganyika imesitisiwa misaada na taasisi za misaada si serikali ya Marekani leo NSSF wakikataa kukupa misaada si kwamba serikali ya Tanganyika ndo imekataa kukupa misaada Millennium Development Goals (MDGs) ni taasisi ya kimarekani si serikali ya marekani
Misaada tunaopewa na wafadhili kwa ajili ya budget na miradi mbalimbali.Aihusu UN hivi una habari kama wafadhili hawaja donate kwenye budget yetu!
 
sisi watanzania tumeshazoea shida sasa hivo vikwazo tukiwekewa na hao wamarekani sisi itatusaidia nini maana tushazoea shida hebu mnaelewa hili jambo mtusaidie

..ni kweli wananchi wa kawaida tumezoea shida.

..je watawala wetu wamezoea shida?

..siungi mkono Tz kuwekewa vikwazo. Lakini vilevile siungi mkono uchaguzi ulivyovurugwa kule Zanzibar.
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Mlifikiri kususia uchaguzi wa marudio ndiyo suluhu?
Waambie watoe hiyo misaada yao ya kishetani hata leo.
 
Misaada tunaopewa na wafadhili kwa ajili ya budget na miradi mbalimbali.Aihusu UN hivi una habari kama wafadhili hawaja donate kwenye budget yetu!
Tanganyika katika upande wa budget hatuna wafadhili ila tuna wadau wa maendeleo ( Development Partners) ambao wanatusupport ktk budget yetu na wadau hao ni Canada, Denmark, Finland, Germany, Ireland, Japan, Sweden, UK, African Development Bank, European Union, World Bank na Finland. ukiangalia wote ni nchi na banks ambzo zote tuko nazo vizuri kimahusiano Tatizo ni vitaasisi vinavyotoka nchi hzo ndo kidogo tuna tatizo navyo mfano
Millennium Development Goals (MDGs) bahati nzuri Taasisi hzo hazichangii kwenye budget bali ni kwenye development projects
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Labda na wewe sasa naomba kujua msimamo wako; je tuendelee kupiga KURA za kuchagua vongozi wetu au tufute utaratibu wa kupiga KURA!?
 
Nadhan marekan sasa ivi waache izi sera za vikwazo uku africa wawe wanakuja tu kama wanavyowachomoa madikteta uarabuni vinginevyo hawa watu hawatatoka wataendelea kukandamiza chini tu tutabaki tunaumia sisi tu wakat wao wanaendelea na maisha yao afterall they just dont care so america bring your planes and drones and bomb these idiots and put themout of their misery
 
mkuu
Kwani hawalipwi mishahara yao? Wanalalamika ofisi haziendi kwani ni za kwao? Huo uzalendo wa kutaka kazi za serikaki ziende vizuri wameupata lini na kwasababu zipi?
Sio hawa tuliokuwa hatuwakuti ofisini saa nne asubuhi? Sio hawa waliokuwa wanashughulikia mambo yetu mwaka mzima bila majibu?
Waambie kama mwenye ofisi anakulipa unachostahili ila kazi zake anazichelewesha mwenyewe muache aue ofisi yake kwani wa kuulizwa ni yeye sio wewe.
Saa nyingine muwaambie hao mnaowaita watumishi waache kiherehere na umbea, wewe ni daktar mfano dawa hakuna na umeshamwambia mwenye nchi yake hataki kuleta dawa, nenda kazini mwisho wa mwezi kachukue chako acha umbea, ukiulizwa waambie wamuulize aliyewaahidi na sio wewe.
Wanaolalamika ni wezi tu, mtu anabomoa nyumba yake kwa hiari yake wewe uliyekodishwa kufabya jazi ya kubomoa unalia nini wakati unalipwa hela ya kubomolea?
Kama magar ya ofis hayatembei kwani daladala nazo hazitembei na wao wanalazimishwa kutembea kwa miguu? Magar gani hayo hayatembei? Yale wanayoyatumia kwenye harusi zao na mambo yao? Wewe ni secretary ulikuwa unakuja kwa daladala unawashwa nini ukiona mashangingi yamepakiwa uwani? Kama ulipewa gari kama mkataba wako unavyosema na wamekupokonya bila kukupa usafiri nenda kashtaki kuvunjiwa mkataba wa kazi wakulipe.
Waambie hao watumishi waache unafiki kama wanatendewa mabaya wanashindwa vipi kuungana kuishtaki hii serikali choka mbaya wanawaambia nyinyi wa vijiweni wakati hamuwezi kuwasaidia chochote.
mkuu, ili ofisi iende unahitaji vitendea kazi. ukiwa na akili utakuwa umeelewa. hautakiwi kutumia hela yako ya mfukoni kufund huduma za serikali. wewe nawe naona akili yako ni kama ya wao, na hivyo ndivyo mnavyoamini mnajenga nchi. ni bahati mbaya sana watu aina yako ndio wamejaa madarakani.
 
Mleta mada kama mpemba flani hivi..acha Maalim aendelee kutoa matumaini ili siku ziende
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
 
wafanye fasta hiyo vikwazo vitatufundusha maana ya siasa.nadhani 2020 tutaelewa vizuri sio ushabiki tu wa KINAZI
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Wewe ni nani?
 
watuwekee vikwazo tu ili tukose wote,maana mi nmechoka hii nchi, balaa
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Source ndg
 
Tetesi hizo zinaendelea kueleza kuwa wana CUF wote watahamia Marekani!!
 
Thubutu yao. ..wakale wapi..afanalek
 
Back
Top Bottom