kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Hahahaa...uto kama uto.
Na bado mtalalamikia waamuzi ...wakiwabeba mtahamia tff inawapendelea Simba kuwapa viporo,na mkizidiwa lazima mkiri kila mtu ni Simba hadi mfadhili wenu ni Simba.
Mtapoteana tu,ni suala la muda
Na bado mtalalamikia waamuzi ...wakiwabeba mtahamia tff inawapendelea Simba kuwapa viporo,na mkizidiwa lazima mkiri kila mtu ni Simba hadi mfadhili wenu ni Simba.
Mtapoteana tu,ni suala la muda
Kwa msimu huu Yanga ndio bingwa, huo ndio ukweli mchungu kwangu na kwa wanasimba wenzangu.
Na sababu ni moja tu, timu zingine (ikiwemo Azam na Simba) kimpira zimechoka sana, zinapata ushindi kwa kubahatisha au kununua mechi.