Kuna timu iliyogongwa goli nyingi zaidi ya Yanga kwenye michuano ya Mapinduzi Cup?

Kuna timu iliyogongwa goli nyingi zaidi ya Yanga kwenye michuano ya Mapinduzi Cup?

Asante sana Mkuu. Kuna post mbili kwenye thread hii hii nimezungumzia suala hilo lakini wagumu kuelewa. Zile penati zao nne nazo wanaziita 4G.
Wakuu kama mnavyokumbuka jana kwa taaaabu sana Azam FC waliishinda Simba SC na kuchukua kombe la Mapinduzi

Sasa tujadili yaliyojiri wakati wa mashindano.Mimi ningependa kujua kama kuna timu iliyopukuchuliwa goli nyingi zaidi ya Yanga.Yanga iliishangaza Zanzibar kwa kudokolewa goli 8 ndani ya siku 5. Kiasi kwamba siku ya nusu fainali walikimbia na kupotea ghafla kama msichana aliyebakwa kwa kutaka mwenyewe

Simba ambayo licha ya kuonyesha kabumbu safi haikufanikiwa kuchukua kombe lakini ni timu iliyoacha gumzo Visiwani.

SWALI LA KIZUSHI
Inawezekanaje gemu wapige wengine kileleni afike mpiga chabo? Yanga bana

Zile goli nne za mafuta unaziweka kwenye hesabu zako?
Angalia idadi ya magoli kwa kila mchezaji kama magoli ya mafuta ya kuamua mshindi yanahesabika
Hayo huwa ni lottery ya kuamua nani asonge mbele au achukue kombe. Officially mchezo ulikuwa sare bila bila.
Hata yale mawili mliofungwa ni hali hiyo hiyo.
Naamini Sembo analielewa hili!
 
4G ya Azam ni sawa.
Yale ya mafuta wala hayaingii kwenye records za idadi ya magoli kwa timu au mfungaji bora.
Kazi yake ni lottery ya kuamua nani asonge mbele au achukue kombe.
Ndiyo maana ikibidi zinapigwa penati hata kumi au sio lazima zifike tano!
kumbe penat sio magoli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmeanza kuchanganyikiwa
 
kumbe penat sio magoli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mmeanza kuchanganyikiwa
Penati ndani ya mchezo yes! And a big yes for that matter. Penati za kuamua nani asonge mbele au achukue kombe baada ya suluhu katika muda wa kawaida/na nyongeza, ni lottery tu ya kufanyia uamuzi. Zamani walirusha shilingi!
 
Penati ndani ya mchezo yes! And a big yes for that matter. Penati za kuamua nani asonge mbele au achukue kombe baada ya suluhu katika muda wa kawaida/na nyongeza, ni lottery tu ya kufanyia uamuzi. Zamani walirusha shilingi!
mkuu mbona hueleweki kwani zile penat zilikuwa nje ya mchezo?
 
Baada ya sare dakika tisini
mkuu mbona hueleweki kwani zile penat zilikuwa nje ya mchezo?
Baada ya dk 90 muda wa kawaida, matuta ni lottery. Mchezo per se unabakia kuwa ni draw!
 
Wazee wakuvunja viti Hanna jipya, sisi wenyewe tuliwastahi Kule ugenini tungewafunga mngevunja ata Muungano.
 
Baada ya sare dakika tisini

Baada ya dk 90 muda wa kawaida, matuta ni lottery. Mchezo per se unabakia kuwa ni draw!
Mkuu naomba jibu moja
Penati zilikuwa ndani ya mchezo au nje ya mchezo?
 
Ila yanga wamepigwa kwa mbinde sana. Ingawa Azam wameshinda ila mziki wameuona, zimeingia kwa mbinde sana
 
Kumbe wewe mpira hujui unajumlisha penalty
Hakubali hilo anahesabu penati nje ya muda wa kawaida au nyongeza.
Kazi ngumu kueleza vitu vilivyo dhahiri!
Zamani zile Walikuwa wakirusha shillingi kuamua badala ya matuta
 
Back
Top Bottom