Kuna timu itashika mkia Leo Baada ya mechi na Wydad

Nataka nikuone ukitoa updates live kwa uzi wa mechi hii njoo kwenye uzi mchambuzi wetu muoga πŸ˜‚
 

Ni hiyo hiyo Wyadad itaendelea kushika mkia wa Simba! Na Simba ukimshika mkia wake utaisikia habari yako!
 

Hapo mkia Wyadad unamhusu, kule mkia Nyuma mwiko unamhusu!
 

Nyuma mwiko kila akijitahidi achomoke kwenye mkia anabaki amegandana pale pale!
 
Ila Kuna nyengine tangu Ligi ya Makundi imeanza hadi jana mechi ya tatu ni ya mwisho. Unaijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…