GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Klabu ya Hapoel Petah Tikva inayoshiriki Ligi daraja la pili Nchini Israel umeachana na kiungo Kelvin Kapumbu ikiwa ni miezi miwili tu tangu nyota huyo raia wa Zambia atue klabuni hapo mnamo Julai 30, 2024 akitokea Zesco United.
Chanzo: maulidkitenge
Na kilichowaumiza zaidi siyo Yeye kuwafunga bali Kufungwa na Mtu mwenye Jina la Ubini ambalo analimiliki daima.
Chanzo: maulidkitenge
Na kilichowaumiza zaidi siyo Yeye kuwafunga bali Kufungwa na Mtu mwenye Jina la Ubini ambalo analimiliki daima.