Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Abeg ulikuwa unaangalia play station, tuliokuwa Mkwakwani tumeona swala hakuna Simba pale.Kwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Hamshindi hadi mbebweKwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Simba ikicheza kwenye ligi kama ilivyocheza jana, tuitegemee kwenye playoffKwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Hivi hii ndio Ile wazungu wanaita sarcasm ?Kwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Akili fyongo, binaadam timamu hawezi kujitoa akili kiasi hikiKwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Usifikiri tumesahau refa alivyoinyonga Kagera Sugar na kuibeba Uto.Hamshindi hadi mbebwe
Najaribu kufikiria:
Hivi mimi jana nilikua naangila mpira nikiwa nimelewa?
au
Nilikua naangalia mechi ya marudio?
Mimi huo mpira ambao Wanasimba wenzangu wanasema umepigwa, mbona mimi sijauona?
Ni kujifariji au Kumtisha Mtani?
Mnayafanya or mnasema hayo kwa manufaa ya nani? Asking for a friend😄
Acha kuwaenjoi makolo na wewe ni uto mwenzanguKwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Uchihimwisi huoKwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Kwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.
Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.
Konde boy kaamsha Sana Jana
Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu
KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA