Kuna timu zitatoa timu uwanjani kwa kikosi hiki

I'm not gonna lie, hii kauli ya "Jumapili tunapigwa" imenichekesha sana๐Ÿ˜„

Ni kweli tunaweza pigwa, ila sio rahisi kihivyo. Jangwani nao wanachangamoto zao.
 
Siku hizi sio pira biliani tena ni pira makande[emoji1787].

Butubutu butuaaaaa
 
Mojawapo ya hizo timu zitakazotoka uwanjani ni Atletico De Uto
 
Pumba tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ