Kuna timu zitatoa timu uwanjani kwa kikosi hiki

Kuna timu zitatoa timu uwanjani kwa kikosi hiki

Nakuunga mkono mkuu..
Mm pia ni mshabiki wa Simba, ila kocha mule hamna. Simba naona ina wachezaji wazuri lakn chemistry baina ya wachezaji na kufungua vyumba ile one two hamna kabisaa.

Goli lile tumebebwa kweupeeeee...
Refa alichezesha chini ya kiwango.

Yanga wapo vizuri, na jpili tunapigwa
I'm not gonna lie, hii kauli ya "Jumapili tunapigwa" imenichekesha sana😄

Ni kweli tunaweza pigwa, ila sio rahisi kihivyo. Jangwani nao wanachangamoto zao.
 
Kwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.

Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.

Konde boy kaamsha Sana Jana

Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu

KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Siku hizi sio pira biliani tena ni pira makande[emoji1787].

Butubutu butuaaaaa
 
Kwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.

Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.

Konde boy kaamsha Sana Jana

Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu

KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Mojawapo ya hizo timu zitakazotoka uwanjani ni Atletico De Uto
 
Kwa jinsi boli la lunyasi lilivyotembea pale kwa wagosi jana naona kabisa Kuna timu itatoa timu uwanjani.

Pila ottoman mmeliona ndugu zangu huyo ONANA hakabiki kabisa si mmeona jamani.

Konde boy kaamsha Sana Jana

Simba tupewe ubingwa wetu kabisa Kuna timu itakula 8 msimu huu

KAMBI YA UTURUKI HAKIKA IMELIPA WAKUU WALE WALIOWEKA KAMBI HAPAHAPA MOTO WAMEUONA
Pumba tupu.
 
Back
Top Bottom