4WD = Four wheel Drive , AWD =Always Wheel Drive,Habari wakuu, kwa mwenye uelewa.
4WD ni nini?
na AWD ni nini
Ni ipi tofauti kati ya 4WD na AWD?
4WD Una uwezo wa kuendesha kama 2WD ama 4WD kulingana na mahitaji yakoHabari wakuu, kwa mwenye uelewa.
4WD ni nini?
na AWD ni nini
Ni ipi tofauti kati ya 4WD na AWD?
Tofauti kati ya AWD na 4WD ni kwamba AWD huwashwa kila wakati huku unaweza kubadilisha kati ya kuwasha na kuzima 4WD. 4WD ni nyongeza ambayo kwa kawaida utapata kwenye lori, huku AWD ikitumika zaidi kwa magari na SUVNingependa maelezo kwa lugha ya kiswahili mkuu.
Maelezo ya kizungu nimeenda Google nimeyakuta.
AWD -All wheel drive. Manake maringi yote yanasukuma gari. Kuna full time AWD na part time AWD. Full time km jina, muda wote Huwa maringi manne yanafanya kazi ya kusukuma gari na part time huwa aidha ya mbele yatasukuma gari pekee au ya nyuma ndio yatafanya hio kazi kutegemea na vile sensors zitakavoona Bora. Kwaio wewe km dereva wewe endesha tu, gari itaamua wenyewe kupeleka power ringi za mbele au nyuma ikiwa part time AWD na ikiwa full time ndo utulie tu gari ishaamua kupeleka power Kwa maringi yote.
4wd - 4 wheel drive. Nayo pia maringi yote yanauwezo wa kusukuma gari. Ila hii inakupa more control, kama hutaki yote yasukume gari, una chagua utakavyo. Kama unataka system ya off-road basi 4wd ni bora. Ila performance wise kama unataka sedan AWD ni nzuri.
In short chukulia AWD ni automatic 4 wheel drive [emoji28]
Mkuu, umeelezea vizuri lakini umechanganya kidogo.AWD -All wheel drive. Manake maringi yote yanasukuma gari. Kuna full time AWD na part time AWD. Full time km jina, muda wote Huwa maringi manne yanafanya kazi ya kusukuma gari na part time huwa aidha ya mbele yatasukuma gari pekee au ya nyuma ndio yatafanya hio kazi kutegemea na vile sensors zitakavoona Bora. Kwaio wewe km dereva wewe endesha tu, gari itaamua wenyewe kupeleka power ringi za mbele au nyuma ikiwa part time AWD na ikiwa full time ndo utulie tu gari ishaamua kupeleka power Kwa maringi yote.
4wd - 4 wheel drive. Nayo pia maringi yote yanauwezo wa kusukuma gari. Ila hii inakupa more control, kama hutaki yote yasukume gari, una chagua utakavyo. Kama unataka system ya off-road basi 4wd ni bora. Ila performance wise kama unataka sedan AWD ni nzuri.
In short chukulia AWD ni automatic 4 wheel drive [emoji28]
4WD = Four wheel Drive , AWD =Always Wheel Drive,