Kuna tofauti gani kati ya Perfume na Body spray?

Kuna tofauti gani kati ya Perfume na Body spray?

1.perfume ina concentration kubwa ya aromatic oils kuliko maji na alcohol wakati body spray ina concentration kubwa ya maji na alcohol kuliko aromatic oils

2.perfume inanukia muda mrefu kuliko body spray kwasababu hio hapo juu.

3.perfume inapuliziwa kwenye pulse points[sehemu ambapo unafeel mapigo ya moyo shingoni,wrist,kifuani joto la sehemu hizi zinafanya harufu inukie vizuri] body spray inapulizwa sehemu yoyote ya kiwiliwili[mgongoni,kifuani,tumboni etc]

Perfume haipulizwi kwenye nguo, ingawa wengi hufanya hivyo.

Unasemea hizi hizi za kuchakachua ama manake ndani ya mwaka mtu ukiwa unapulizia kwenye mwili kansa ya ngozi inatuhusu mtu unakuta kuna perfume org inauzwa 150, 000 copy sh 15, 000 halafu uniambie kuna usalama hapo kama sii kuuwana ni nini.
 
Kuna body splash ambayo ni mbadala wa body spray. Tafuta kama hii
 

Attachments

  • 1436538537107.jpg
    1436538537107.jpg
    46.6 KB · Views: 395
  • 1436538641420.jpg
    1436538641420.jpg
    61.7 KB · Views: 369
Unasemea hizi hizi za kuchakachua ama manake ndani ya mwaka mtu ukiwa unapulizia kwenye mwili kansa ya ngozi inatuhusu mtu unakuta kuna perfume org inauzwa 150, 000 copy sh 15, 000 halafu uniambie kuna usalama hapo kama sii kuuwana ni nini.

I'm allergic to counterfeit...if u know what I mean.
 
na hizi splash tunaagizwa na madem zetu tuwaletee zinapulizwa wapi?

Hahaha kwa hiyo sisi ndo tunawanunuliaga hayo maji ya ukwaju a.k.a spray? Hata na nyie ni wanunuaji wazuri tu bana
 
Back
Top Bottom