Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida hueleweki ulichoandika..OPNikujibu nini wakati bandiko langu linajieleza? Du! Kuna watu na viatu.
Hapana1. General secretary - katibu
2. Secretary general - katibu mkuu
Hili jambo nakumbuka lilishajadiliwa kipindi cha nyuma. Tafadhali tafuta uzi wenye heading;
1. General secretary
2. Secretary general
3. Chief secretary
Wasalaam!
Kama baada ya miaka 5 bado hatujamuelewa Meko anahakikisha kwenye Kampeni za mwaka huu anaweka wazi HULKA yake.
Tusijekulalamika akichukuwa Urais 2020-2025.
*Ukimpigia Kura mpinzani utalipa kodi kama kawaida lakini usitengeme huduma za Serikali*
28/10/2020 Kazi kwetu!
Hahahahaaaaa umeuliza swali moja gumu sana mkuu mpaka nimecheka.Kwanini isiwepo na Secretary Chief
Kuna watu wamejitahidi kwa kiwango chao katika kulifafanua humu.Hili swali hakunaga wa kulijibu
Elimu haina mwisho, kabla sijakujibu, nambie "The" ni "Article" kwa vipi?
Umeongeza swali lingine.
The ni kiunganishi cha nomino? Elezea mkuu.
Nachojua the ni article.
Fafanua kama hautojali.
Naaam sahihi kabisa...Mkuu @Daby ni sahihi kuwa "The" ni article na hutumika pale unapotaja specific noun, mfano huwezi sema "a sun" ila utasema "the sun" ama utaitumia pale ambapo in the first place umesha tambulisha nomino husika mfano, this is a car i bought last week.
Membeh Ni nan Happ Wazalendo?Ngoja tuingie jalalani jibu litakuja muda si mrefu
"Membeh" ndio nani kwani mkuu?Membeh Ni nan Happ Wazalendo?
Kachero Mbobezi"Membeh" ndio nani kwani mkuu?