Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi hospitali zote za mkoa ni za rufaaa?Hospitali ya rufaa huwa na madaktari bingwa na vifaa bora. Tatizo kilikoshindikana huko kite kinakuwa referrered kwenye hospitali kubwa
Ni rufaa kutoka wilayani lakini wakishindwa kesi hupewa rufaa Muhimbili, Bugando, KCMC au Benjamin Mkapa Dodoma sifahamu kwa Mbeya ni hospitali gani.Hivi hospitali zote za mkoa ni za rufaaa?
Ahsante kwa elimu hii mkuu,Zahanati ni kituo kidogo kinachoshuhulika na kesi ndogo ndogo na kituo cha afya kina deal ishu zilizo kubwa kidogo na zilizoshindikana kwenye zahanati rufaa ndo yenye madaktari bingwa na pia inadeal na inshu kubwa kubwa na INA vifaa vyote
Hapana, mfano nyanda za juu kusini (Iringa, Njombe, Mbeya) hosipitali ya rufaa ni Mbeya RUFAAhivi hospitali zote za mkoa ni za rufaaa?
SawaAhsante kwa elimu hii mkuu,
Kesi nyingi kutoka wilayani huwa referred mkoani kwanza lakini kesi za hatari kama cancer huenda moja kwa moja hospitali kubwa ya rufaaMh,navojua hospital ya mkoa inajitegemea,na hospital ya rufaa inajitegemea.ko sio hosp za mikoa zote ni za rufaa
Ngazi ya kijiji / kata ndio huwa tuna Zahanati na vituo vya fya huku kwetu vijijini.ZAHANATI,KITUO CHA AFYA,
Kwahiyo zahanati ni kitu kimoja na kituo cha afya ama! Na kama ni tofaut tofaut ni nini?Ngazi ya kijiji / kata ndio huwa tuna Zahanati na vituo vya fya huku kwetu vijijini.
Ambapo mgonjwa hali ikiwa mbya basi anapelekwa hospitali ya Wilaya.
OKAY OKAY SKY ECLATNi rufaa kutoka wilayani lakini wakishindwa kesi hupewa rufaa Muhimbili, Bugando, KCMC au Benjamin Mkapa Dodoma sifahamu kwa Mbeya ni hospitali gani.
OHOO HAPO SAWA KABISAhapana, mfano nyanda za juu kusini (Iringa,Njombe,Mbeya...) hosipitali ya rufaa ni Mbeya RUFAA
SURE...Mh,navojua hospital ya mkoa inajitegemea,na hospital ya rufaa inajitegemea.ko sio hosp za mikoa zote ni za rufaa
Iv wew haya mambo unayafaham vp ilihal upo kwa Trump.Ni rufaa kutoka wilayani lakini wakishindwa kesi hupewa rufaa Muhimbili, Bugando, KCMC au Benjamin Mkapa Dodoma sifahamu kwa Mbeya ni hospitali gani.
Inabidi zote ziwe hivyo mkuuhivi hospitali zote za mkoa ni za rufaaa?