GoPPiii.
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,792
- 3,075
Kijiji kinahudumiwa na zahanati, ikishindikana hapo hupelekwa kituo cha afya ambacho huudimia vijijiji kadhaa hapa huduma huongezeka madaktari wa degree huanzia kwenye ngazi hii.
Tatizo lisipotatuliwa hapa mtu hupata rufaa kwenda hospitali za wilaya, kisha mkoa na mwisho hospitali za rufaa. Tiba isipopatikana hapa kwa hapa nchni hupelekwa hospitali za juu kabsa hususani muhimbili.
Ngazi hizi hutofautiana kwa watu wanaoziendesha, madawa na vifaa. Kuna vifaa na dawa huvipati zahanati ila ukienda kituo cha afya utazikuta. Vile vile zipo huduma mikoani na rufaa huzikuti kituo cha afya.
Tatizo lisipotatuliwa hapa mtu hupata rufaa kwenda hospitali za wilaya, kisha mkoa na mwisho hospitali za rufaa. Tiba isipopatikana hapa kwa hapa nchni hupelekwa hospitali za juu kabsa hususani muhimbili.
Ngazi hizi hutofautiana kwa watu wanaoziendesha, madawa na vifaa. Kuna vifaa na dawa huvipati zahanati ila ukienda kituo cha afya utazikuta. Vile vile zipo huduma mikoani na rufaa huzikuti kituo cha afya.