Kwahiyo zahanati ni kitu kimoja na kituo cha afya ama! Na kama ni tofaut tofaut ni nini?
Zahanati
kunakua na medical oficers wenye diploma, wanaitwa clinical oficers, na walikuepo pia wenye certificate rural medical officer kama sijakosea, haoa ukija na case itaishia kutibiwa kwa dawa labda na mapumziko ya mda ila hawalazi.
Wanafanya procedures ndogo ndogo kama kufunga vidonda.
Kituo cha afya
Kuna medical officer(s) wenye bachelors na COs wanakuwepo,
Hapa huduma za zahanati zinakuwepo plus upasuaji mdogo unaweza kuwepo kama vifaa vipo.
Wanalaza pia.
Hospitali ya tufaa ya wilaya.
Wanaenda zaidi kuna kiwepo na huduma nyingi zaidi, na vifaa vingi zaidi. Kuna weza kuwepo na (ma)daktari bingwa.
Upasuaji mkubwa, wanalaza na specialized servicers kama macho, kinywa, zinakuwepo. Japo hata kituo cha afya zinaweza kiwepo.
Hospitali ya rufaa ya mkoa.
Kunakuwepo na madaktari bigwa wa disciplines mbali mbali, kama wa kina mama, upasuaju, mifupa na kadhalika. Wanakua na vifaa vingi na wafanyakazi wa kutosha kutoq huduma husika wa disciplines mbali mbali kama , phisiotherapy, magonjwa ya akili wanaweza kiwepo nakadhalika.
Specialized referal hospotal (zanol referal)
Hizi zinakua za kanda, mfano. KCMC, BUGANDO, DODOMA, MBEYA.
Hizi zinakua na superspecialities.
Mfano, daktari wa upasuaji wa watoto, mtaalamu wamionzi(Radiologists and Radiographers) wa mifupa na misuli"muscle skeletal"
Etc...
katika levle hii sio ajabu mgonjwa akapewa rufaa kutoka labda bugando akapelekwa kcmc and vice versa. Kutegemeana na utaalamu husika unapatikana wapi.
Mda mwingine hata kutoka muhimbili wakipelekwa kwenye hospitali hizi.
Hospitali ya rufaa ya taifa. MIHIMBILI.
Pia kuna taasisi ambazo zinajitegemea kutokana na specialization na umuhimu wa huduma husika, mfano, MOI, OCEAN ROAD, JAKAYA KIKWETE.
Kwa ufahamu wangu, naweza kuwa sio perfect sana