Kuna tofauti gani kwenye uwezo wa kufikiri kati ya mwanamme na mwanamke

Kuna tofauti gani kwenye uwezo wa kufikiri kati ya mwanamme na mwanamke

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
Naomba tujadili hili wakuu, kutokana na mazingira ya miili yetu kuwa tofauti, je haiwezi kuathiri mifumo yao ya akili hivyo kuwa na uwezo tofauti wa kufikiri?

Michakato mbalimbali ktika miili ya mwa'mke na mwa'mme ni tofauti, kama vile mfumo mzima wa uzazi, mfumo mzima wa homoni maana mwanamke anatengeneza homon nyingi ktka mwili wake kuliko mwanaume, pia wakati wa mimba mwilin mwa mwanamke anakuwa na mabadiliko mengi yanatokea ambayo hayatokei kwa mwanamme, je michakato hii ktka mwili na mingine mingi haiwezi kuleta utofauti ktka uwezo wao wa kufikiri kati ya mwanamume na mwanamke?.

Sijui sana lakin nahitaji kujua zaid kuhusu hili maana huwa natafakari sana na kuishughulisha sana akili yangu,naileta kwenu waheshimiwa tuijadili kwa kina.
 
Mi naongeza swali. Kwanini wanawake wengi wanamudu sana masomo ya lugha kwa kuandika na kuzungumza kuliko wanaume na wanaume wanamudu sana masomo ya hisabati na fizikia kuliko wanawake ? Je wanawake wengi hawapendi sana hisabati na fizikia ? Je wanaume wengi hawapendi masomo ya lugha?. Nakumbuka shuleni ilikuwa ni 'ujiko' kidogo kwa msichana kusoma mchepuo wa Physics, Chemistry na Mathematics (PCM). Alkadhalika wengi wa 'PCM boys' swala la lugha 'especially' ya kimombo huwa ni tatizo sana hasahasa kwenye uzungumzaji labda kama wanatokea English Medium.
 
Mi naongeza swali. Kwanini wanawake wengi wanamudu sana masomo ya lugha kwa kuandika na kuzungumza kuliko wanaume na wanaume wanamudu sana masomo ya hisabati na fizikia kuliko wanawake ? Je wanawake wengi hawapendi sana hisabati na fizikia ? Je wanaume wengi hawapendi masomo ya lugha?. Nakumbuka shuleni ilikuwa ni 'ujiko' kidogo kwa msichana kusoma mchepuo wa Physics, Chemistry na Mathematics (PCM). Alkadhalika wengi wa 'PCM boys' swala la lugha 'especially' ya kimombo huwa ni tatizo sana hasahasa kwenye uzungumzaji labda kama wanatokea English Medium.

Dunia imebadilika siku hizi, hakuna cha mwanaume wala mwanamke.

PCM inapigwa na wote na by an accident ufaulu wa wanawake umeongezeka kwa levels zote. Jiulize sababu
 
Dunia imebadilika siku hizi, hakuna cha mwanaume wala mwanamke.

PCM inapigwa na wote na by an accident ufaulu wa wanawake umeongezeka kwa levels zote. Jiulize sababu

Sina hakika na maelezo yako Bulldog lakini hata kama ni kweli je hiyo inamaanisha kuwa sasa wanawake wanapenda hesabu na fizikia kama wanaume? Je kwasasa wanawake wanaipenda na kuimudu fani ya uhandisi kama wanaume ?
 
Last edited by a moderator:
Sina hakika na maelezo yako Bulldog lakini hata kama ni kweli je hiyo inamaanisha kuwa sasa wanawake wanapenda hesabu na fizikia kama wanaume? Je kwasasa wanawake wanaipenda na kuimudu fani ya uhandisi kama wanaume ?

Wahandisi wa sasa wengi ni zao la kipindi cha nyuma ila in the next 20 years naona mtaanza kugombania sawa kazi na wa wanawake
 
Wahandisi wa sasa wengi ni zao la kipindi cha nyuma ila in the next 20 years naona mtaanza kugombania sawa kazi na wa wanawake

Nope. Time can not change the Passion. Men will always be good with numerical stuffs than women and Women shall keep being good on verbal and oral stuffs than men. I think that's is how we are wired.
 
Sina uhakika kama bongo zinakuwa zimetofautiana ila kuna mambo ya homoni ambayo huwa yanaleta tofauti.
 
Kwa mtazamo wangu, uwezo wa kufikiri hautofautiani sana kati ya wanawake na wanaume. Ila tu huwa naona wanawake ambao ni tegemezi huwa hawajishughulishi sana na kufikiria hivyo kudumaza uwezo wao wa kufikiri hasa kwa mila za kiafrika. Pia, inategemea na mazingira aliyokulia mtu kama amejengwa katika kufikiri tangu akiwa mdogo.

Mshua
 
Hakuna tofauti ya uwezo wa kufikiri kati ya mwaname mwanamke, ila tofauti inaletwa na mazingira na mtitazamo ya jamii, mazingira wanayokulia na shughuli wanazofanya hawa watu ndo vinabadilisha ufikiri wao na uwezo wao, ila wakipewa mazingira sawa na nafasi sawa uwezo wao upo sawa.
 
Mimi nilikuwa nafikiri kiumbaji zaidi, kwa kuwa Mungu alimuumba mwanaume na akamuweka kuwa kichwa cha familia na mwanamke ni mkia,sasa nikawa najua mwanaume anafikiri zaidi na yuko mbele ya mwanamke toka utotoni
 
Dunia imebadilika siku hizi, hakuna cha mwanaume wala mwanamke.

PCM inapigwa na wote na by an accident ufaulu wa wanawake umeongezeka kwa levels zote. Jiulize sababu

Wanawezeshwa wanafanya vizuri.... mpaka wawezeahwe
 
Utofauti upo ila ni katika mambo ya maisha ya kila siku.... ila katika masomo n mtu tu alivozaliwa ana iq kubwa kuliko yule bila kufuata jinsia...
 
Suala la uwezo wa kufikiri linategemea mazingira yanayomzunguka au malezi ya mtu husika.
Pengine kwa maisha ya kiafrika mwanamke hutegemewa kufanya kazi za nyumbani hivyo kupelekea kutawaliwa na mazoea ya kila siku kwenye jamii inayomzunguka, lakini hii inakuwa kwa kiasi chake lakini kiujumla mwanamke bado anaonekana yupo chini kifikra kulinganisha na mwanaume.
 
Kisaikolojia wanawake wote ni wajinga na wanaume wote ni wapumbavu! mjinga huelimika baada ya kupata ufahamu lakini mpumbavu haelimiki kamwe hubaki na upumbavu wake! umuhimu wa lubricants haupewi kipaumbele kwenye gari lakini huo ndio moyo wa kuifanya engine ya gari yako iwe na maisha marefu tafakari kwa makini utanielewa ukikimbilia kusema nimekutusi unaziba mirija ya ufahamu wako
 
mwanamke mwenye degree ni sawa na mtoto wa kiume anayesoma chekechea...
mwanamke mwenye Masters ni sawa mtoto wa kiume aliyehitimu standard seven...
mwanamke mwenye PhD ni sawa na mtoto wa kiume aliyemaliza form four...
mwanamke mwenye elimu ya standard seven ni sawa na mtoto wa kiume anayetambaaa...
 
Sina uhakika kama bongo zinakuwa zimetofautiana ila kuna mambo ya homoni ambayo huwa yanaleta tofauti.

mkuu napingana na ww.. wanawake wana kiwango kikubwa cha akili kuliko wanaume.. hii ni biologically na sio siasa.
 
mkuu napingana na ww.. wanawake wana kiwango kikubwa cha akili kuliko wanaume.. hii ni biologically na sio siasa.

Ni kweli kabisa Matege kwakuwa hata life span yao ni ndefu kuliko wanaume
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom