Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Nimekuwa nikimsikiliza ndugu yetu kwa Miaka yake minne ambayo amekuwa akiliongoza taifa..
Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?
Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?
Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING
Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?
Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?
Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING