Kuna tofauti kubwa kati ya utani na udhalilishaji

Kuna tofauti kubwa kati ya utani na udhalilishaji

Nimekuwa nikimsikiliza ndugu yetu kwa Miaka yake minne ambayo amekuwa akiliongoza taifa..

Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?

Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?

Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING
 
We mtendee vizuri mkeo akupe kiboga
Kumbuka watu waliosoma masomo ya sayansi tafsda kwao zero.

Alafu acha unafki kazi ya wanawake
 
Anashindana na watu wa Pwani 😂 analazimisha kupendwa

Anadhani JK alipendwa sababu ya maneno yake ya kuchomekea 😂

Msukuma kujifanya wa Mjini Disco wanaita Disiko.. Ataishia Kujidhalilisha kwa kutojua Haki na Uhuru ndiyo vitamfanya akubalike kwa Waliyowengi na Siyo Mizaha kwenye Majukwaa ya Shughuli za Kitaifa.
 
Nchi inaongozwa na washamba na malimbukeni
 
We mtendee vizuri mkeo akupe kiboga
Kumbuka watu waliosoma masomo ya sayansi tafsda kwao zero.

Alafu acha unafki kazi ya wanawake
Hivi Prof. Mwandosya,Dr. Bilal hawakusoma Science?
 
Itakua labda ameona wananchi wanyonge tunapendaga story za hivyo kwa ajili ya kupotezea mawazo ya maisha magumu.
 
Acheni hizo mi siamini. Hebu weka video nione akisema kuhusu kiboga.

Lakini wote tunajua kua kiboga ni mknd?

Na tunajua kua kumfi.ra mwanamke kisheria ni kosa sawa na bestiality hivyo kuna kifungo na kifungo chake ni miaka 30?

So Rais anaencourage tuvunje sheria?
 
akiona mwanamke mweupe ndio anachanganyikiwa kabisa..hahaha
Nafuu hasafiri Nchi za Ulaya, Anaweza kuuza Nchi.
Mawaziri wa awamu zilizopita kabla ya kuingia Mikataba mibovu, moja wapo ya zawadi ni viburudisho hivyo, CCM hovyo sana.
 
Nimekuwa nikimsikiliza ndugu yetu kwa Miaka yake minne ambayo amekuwa akiliongoza taifa..

Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?

Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?

Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING
Japo sijasikia hayo ila naunga mkono hoja kwasababu yapo nami niliyoyasikia na nilishauri


P
 
Nimekuwa nikimsikiliza ndugu yetu kwa Miaka yake minne ambayo amekuwa akiliongoza taifa..

Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?

Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?

Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING
madaktari wstusaidie labda nn uchangia,, kwakweli
 
Nimekuwa nikimsikiliza ndugu yetu kwa Miaka yake minne ambayo amekuwa akiliongoza taifa..

Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?

Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?

Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING
hahahahaha BAWACHA BHANA YANI WEWE UNAFIKIRI KIBOGA INA MAANA KAMA YAKO UNAYO ISEMA? KIBOGA INA MAANA NYINGI SANA WENGINE HUKO KANDA YA ZIWA NI TUNDA TAMU.....
BAWACHA ACHA KUJIPA PRESSURE
 
Back
Top Bottom