Kuna tofauti kubwa ya uchekeshaji na ufanyaji ujinga Idris Sultan ni mfanya ujinga sio mchekeshaji

huyo brother k hamna kitu anaonekana kama anaforce vile
 
Idris kwangu ni the best comedian.
Hivi mchekeshaji kwenu nilazima avae makaptula makubwa na kujipaka masizi usoni.?
Idris km angekuwa mcheza soka ni wale wa kingereza viwango vyao ni kupanda na kushuka, kuna sehemu huwa anachekesha, ila kuna sehemu ambayo ndio kubwa zaidi huwa anakulazimisha ucheke, yaani naangalia mwanzo mpaka mwisho najikuta sijacheka.
 
hakuna wachekeshaji kama seriousfan hawa jamaa wanajielewa jaman
naungana na ww bro,tena yule ramsoleen angerudi kujiunga nao ndo ingezidi kuwa bomba zaidi...sema jamaa wamekosa ile exposure inayotakiwa bt they are good n smart.
 
Xploit Comedy wako vizuri pia wanaijeria hawa
hawa cjawalewa bdo wako too artificial...only mark angel comedy are the best in nigeria. they know wat they r doing n so creative kwa kweli.
 
mi namkubali Katarina Karatu
dah,hapa ndo kweli nnapojua watu tuna taste tofauti tofauti ..huyu dada cjawahi kucheka au walau hata kutabasamu ktk kichekesho chake chochote kile...namuona ni miongoni mwa wanaolazimisha fani...kwanza hata personality ya uchekeshaji haipo.
 
Huyu hakuna kitu,sio msanii,sio comedian,hana kipaji chochote,angetafuta kazi tu ya kufanya,au angefungua saloon,duka LA nguo auze kwa pesa aliyopata big brother,
Kabla ya big brother,hakuna aliyekuwa anamfahamu hapa bongo,sasa hivi vipaji vinavyokuja baada ya kupata pesa,ni upuuzi tu,
He better finds what suits him,and shut his ass up
 
Mkali wao na dulvan zile ndio takataka wanafanya bora wakalime tuu
 
Kwenye uchekeshaji kuna mwanaDada anajiita Black Pass. Anacheza kama Kiziwi. Nina mkubaki sana amekuja na Big idea ya kwake kipekee na yuko vizuri sana kwenye uchekeshaji huwa achoshii kutazama vichekesho vyek maana yuko smart
 
Dullvan sijui nani, huyu jamaa ni mfanyaji ujinga kama ulivyosema... Ndio maana wanashindwa kupenya kwenye jamii ya kawaida
 
Lengo la idrisa ni mtu acheke so kama watu watu wanacheka ingawa anafanya ujinga acha afanye ni mapenzi yake mwenyewe, pia Kumbuka kuwa vichekesho vyote ni ujinga.
 
Simpendi Mc Pilipili ila basi, uchekeshaji mwingine ni zero kabisa. Ndo maana nimebaki kutazama Churchill Show ya Kenya.
Chuki binafsi....mwenzako yake yanasonga we endelea kutengeneza vidonda vya tumbo kwa chuki hahahaha
 
Kwenye uchekeshaji kuna mwanaDada anajiita Black Pass. Anacheza kama Kiziwi. Nina mkubaki sana amekuja na Big idea ya kwake kipekee na yuko vizuri sana kwenye uchekeshaji huwa achoshii kutazama vichekesho vyek maana yuko smart
Tatizo staili yake ni moja tu ya kupandanisha maneno soon atapoteza ladha,abadilike badilike na kuchagua content nzuri....
 
Hivi lakini huyu kijana ni Mvulana kweli? maana naona anapost Dounat siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…