Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa polisi ya CCM mkuu walivyo wapumbavu wanaweza kukuunganisha kwenye tukio. Omba sana huyo mtu asivamiwe na kuuawa! Ulichokosea mkuu ni kuwaambia kuna tukio la mtu kuvamiwa. Ungewaambia CHADEMA wamepanga kuandamana usiku huu huko Upanga.Nimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Polisi kazi yao ni kukilinda Chama cha kijani.Nimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Usiwaamin sana wanaweza kukuchomesha wewe.Tafuta namba za police piga cm police ni bure kabisa mwokoe huyo mtu
Ila intelligentsia yenu inaweza nusa mpaka vikao vya kina mama wa CHADEMA wakijadiliana chumbaniNjoo hapa police central utoe maelezo vizuri tafadhali
Upanga kubwa Upanga East au Upanga West, maeneo hayo kuna malindo kibao walinzi wa makampuni wa kutosha ingawa kituo cha polisi kipo mbali au wanamteka na gari barabarani?Nimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Tuombe uzima kesho kukicha nitakuja pata feedback hapaNimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Tunashukuru kama ni raia mwema kweli mkuu... ubarikiweNimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Umejaribu kuwaza kwamba na yeye anaweza kuwa ni jambazi ila roho wa Mungu hajamuacha, au mtu wa karibu na jambazi , ameguswa na akaona sehemu rahisi ya kutokuacha alama za utambulisho wake kwa majambazi ni hapa, lakini pia ukute anajua pia police wengine ni majambazi ,hivo watamchoma akienda huko, ,,huyu ni malaika,kama siyo yeye ,basi aliye ndani yakeTafuta namba za police piga cm police ni bure kabisa mwokoe huyo mtu
Huoni ujinga,mtakuja kujiingiza matatizoni,upanga ni kubwa pokusi watajigawaje,na akiwekwandani kuisaidia pokisi atamlaumu nani.Watanzania wa namna hii tumebaki wawili tu,mimi na wewe... wengine wote wanafaa kuingia kwenye kingdom fungi
Mimi mwenyewe sijui ni Upanga ipi ila ni Upanga, na kuhusu kuisaidia polisi tayari nishawasaidia kwa kuwapa tahadhariHuoni ujinga,mtakuja kujiingiza matatizoni,upanga ni kubwa pokusi watajigawaje,na akiwekwandani kuisaidia pokisi atamlaumu nani.
Mind your business