Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

ndo kwamba mods hawajaona hiki kichwa cha habari ama?
 
Nenda kwa yule kinyozi aliekuwa ananyoa juu kwa sasa ananyoa chini.atakusaidia kukunyoa
 
hunyolewa!
Haris kapiga yeye hizo huwezi mkuta nazo
Ndg hapa umekosea!! Kila aliye mwanadam anapaswa kumheshim binadam mwenzake!!! Hujatenda haki kumtaja mwanadam mwenzako ukimhusisha na jambo kama hilo!!! Ujuavyo wewe si kama mimi na yule ajuavyo!!! Waweza kujua kwa kusimliwa na mwenzako kuhusu a b c D ama waweza kusoma sehemu.... Kujua kwa njia ya kwanza tajwa hapo juu huwa haina ukweli kwa jambo husika!!

Muda mwngne ni hekima ku fanya assumption kimoyo moyo uzijuavyo na kubaki juu juu zikielea
N hilo tu
 
Ndg hapa umekosea!! Kila aliye mwanadam anapaswa kumheshim binadam mwenzake!!! Hujatenda haki kumtaja mwanadam mwenzako ukimhusisha na jambo kama hilo!!! Ujuavyo wewe si kama mimi na yule ajuavyo!!! Waweza kujua kwa kusimliwa na mwenzako kuhusu a b c D ama waweza kusoma sehemu.... Kujua kwa njia ya kwanza tajwa hapo juu huwa haina ukweli kwa jambo husika!!

Muda mwngne ni hekima ku fanya assumption kimoyo moyo uzijuavyo na kubaki juu juu zikielea
N hilo tu
Usikute na yeye kuna watu wanamshutumu kama anavyomshutumu mwenzie hapa... hahaha dunia duara hawakukosea.
 
Back
Top Bottom