Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Siku mwanaume huna pesa, then mpenzi/mke wako kaamua mtoke out kwa treat yake(anagharamia yeye hiyo outing).
Muda mfupi kabda ya bill kuletwa anafungua pochi anafumbata kitita cha noti kadhaa kiganjani mwake kisha kwa siri/kificho anakupatia ili ufanye malipo mtakapoletewa ankara ya huduma mliyopatiwa
Hua najiuliza kwani wanawake hujihisi vipi wakilipa wao moja kwa moja? Au wanahisi wanaume tunajisikia vibaya kulipiwa bill na wapenzi wetu?
Hii ni tofauti kama utatoka out na dada yako. Kama ameamua iwe ni treat yake basi atalipa yeye moja kwa moja. Ila na yeye akimtoa out mwanaume wake atampasia pesa ili mwanaume ndio alipe!!!😀😀😀
ANGALIZO: Huu ni uzoefu wangu kwa wanawake watatu au wanne tu na wala sijafanya utafuti kujua ukubwa wa jambo hili
Muda mfupi kabda ya bill kuletwa anafungua pochi anafumbata kitita cha noti kadhaa kiganjani mwake kisha kwa siri/kificho anakupatia ili ufanye malipo mtakapoletewa ankara ya huduma mliyopatiwa
Hua najiuliza kwani wanawake hujihisi vipi wakilipa wao moja kwa moja? Au wanahisi wanaume tunajisikia vibaya kulipiwa bill na wapenzi wetu?
Hii ni tofauti kama utatoka out na dada yako. Kama ameamua iwe ni treat yake basi atalipa yeye moja kwa moja. Ila na yeye akimtoa out mwanaume wake atampasia pesa ili mwanaume ndio alipe!!!😀😀😀
ANGALIZO: Huu ni uzoefu wangu kwa wanawake watatu au wanne tu na wala sijafanya utafuti kujua ukubwa wa jambo hili