Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una uwezo wa kuvumilia ignore offer za mwanamke unayemkula au mkeo.Siku mwanaume huna pesa, then mpenzi/mke wako kaamua mtoke out kwa treat yake(anagharamia yeye hiyo outing).
Muda mfupi kabda ya bill kuletwa anafungua pochi anafumbata kitita cha noti kadhaa kiganjani mwake kisha kwa siri/kificho anakupatia ili ufanye malipo mtakapoletewa ankara ya huduma mliyopatiwa
Hua najiuliza kwani wanawake hujihisi vipi wakilipa wao moja kwa moja? Au wanahisi wanaume tunajisikia vibaya kulipiwa bill na wapenzi wetu?
Hii ni tofauti kama utatoka out na dada yako. Kama ameamua iwe ni treat yake basi atalipa yeye moja kwa moja. Ila na yeye akimtoa out mwanaume wake atampasia pesa ili mwanaume ndio alipe!!!😀😀😀
ANGALIZO: Huu ni uzoefu wangu kwa wanawake watatu au wanne tu na wala sijafanya utafuti kujua ukubwa wa jambo hili
umenipiga na kitu kizito kichwani kuniita hivo☺️, anyway, nimekuita nipate maoni yako kuhusu mada hii
Pole...Ulitaka uitwe nani? Broh?umenipiga na kitu kizito kichwani kuniita hivo[emoji3526], anyway, nimekuita nipate maoni yako kuhusu mada hii
😄hata babe ni sawa tuu, wajumbe wengi ni wanaume na uzi unatakiwa ujibiwe na wanawakePole...Ulitaka uitwe nani? Broh?
Maoni yangu bhana[emoji2]Kwani wajumbe wengine wametoaje miongozo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemsoma Evelyn Salt vizuri lakini?[emoji28][emoji1]hata babe ni sawa tuu, wajumbe wengi ni wanaume na uzi unatakiwa ujibiwe na wanawake
ngoja nikaone
Umasikini ni mbaya sana...., na msitunange wanawake kwa kutokuvutiwa na masikini hata nyie hamtutaki masikiniSiku nyingine usioe mwanamke masikini na golikipa.
Siku ukitimuliwa kazini ndo utajua kilichomtoa kanga manyoya.