Kuna ubaya wanawake kutoa treat kwa wapenzi wao na ikajulikana hivyo?

Kuna ubaya wanawake kutoa treat kwa wapenzi wao na ikajulikana hivyo?

Kwani wewe hujisikii vibaya mwanamke kukulipa bill hovyo hovyo???

Nadhani hili jambo ni la ukakasi kwetu binafsi najisikia vby kulipiwa lipiwa mara nyingi nyingi na mwanamke
 
Siku mwanaume huna pesa, then mpenzi/mke wako kaamua mtoke out kwa treat yake(anagharamia yeye hiyo outing).

Muda mfupi kabda ya bill kuletwa anafungua pochi anafumbata kitita cha noti kadhaa kiganjani mwake kisha kwa siri/kificho anakupatia ili ufanye malipo mtakapoletewa ankara ya huduma mliyopatiwa

Hua najiuliza kwani wanawake hujihisi vipi wakilipa wao moja kwa moja? Au wanahisi wanaume tunajisikia vibaya kulipiwa bill na wapenzi wetu?

Hii ni tofauti kama utatoka out na dada yako. Kama ameamua iwe ni treat yake basi atalipa yeye moja kwa moja. Ila na yeye akimtoa out mwanaume wake atampasia pesa ili mwanaume ndio alipe!!!😀😀😀

ANGALIZO: Huu ni uzoefu wangu kwa wanawake watatu au wanne tu na wala sijafanya utafuti kujua ukubwa wa jambo hili
Kama una uwezo wa kuvumilia ignore offer za mwanamke unayemkula au mkeo.

Ikitokea iwe ni mtoko wako then na yeye kanogewa ana top up spending tu.

Ela za hao viumbe namna ya kuzila ni yeye kukupunguzia majukumu tu kama salon and likes ajigharamie mwenyewe.
 
Siku nyingine usioe mwanamke masikini na golikipa.

Siku ukitimuliwa kazini ndo utajua kilichomtoa kanga manyoya.
Umasikini ni mbaya sana...., na msitunange wanawake kwa kutokuvutiwa na masikini hata nyie hamtutaki masikini
 
Back
Top Bottom